![]() |
Mshambuliaji wa Arsenal Robin van Persie akishangilia sambamba na Samir Nasri na Jack Wilshere mara baada ya mchezaji huyo kuisawazishia bao katika mchezo huo. |
![]() |
Maelfu ya watu wakimiminika katika Uwanja wa Wembley kushuhudia mchezo wa huo wa fainali kati ya Arsenal na Birmigham. |
![]() |
Kocha wa Arsenal Arsene Wenger akizungumza na kipa wake Szczesny mara baada ya kumalizika kwa mchezo huo. |
![]() |
Wachezaji wa Arsenal wakishuka mara baada ya kuchukua zawadi zao za ushindi wa pili katika michuano hiyo. |
![]() |
Wachezaji wa birmigham wakishangilia mara baada ya kukabidhiwa Kombe la Carling. |
No comments:
Post a Comment