Monday, May 30, 2011

MAELFU YA WAKAZI WA BARCELONA WAMPOKEA MWALI WAO.

Shujaa wa Barcelona Lionel Messi akiingiwa katika Uwanja wa Camp Nou na Kombe la Klabu ya Ulaya walilonyakua katika Uwanja wa Wembley Uingereza juzi usiku.

Timu ya Barcelona ikipita katika basi la wazi katika mitaa ya mji wa Barcelona mara baada ya kuwasili.

Wafanyakazi na wachezaji wa Barcelonja wakiwa katika picha ya pamoja.

Umati wa watu wapatao 94,000 ambao walihudhuria katika mapokezi ya timu yao katika Uwanja wa Camp Nou.

Kocha wa Barcelona Pep Guardiola akiwasalimia mashabiki.

Nderemo na vifijo vikiendelea uwanjani.

No comments:

Post a Comment