Friday, July 15, 2011

ARSENAL ON TOUR FAR EAST.

Kocha wa Arsenal Arsene Wenger akitoa maelekezo kwa wachezaji wake katika mazoezi ya timu hiyo huko Malaysia.

Wachezaji wa Arsenal wakiwapungia mkono mashabiki waliojitokeza katika mazozezi ya timu hiyo.

Mashabiki waliojitokeza kuitazama Arsenal wakijifua.

No comments:

Post a Comment