Friday, November 26, 2010

FIFA YATOA ORODHA YA WACHEZAJI 55 WATAKAOTEULIWA KUUNDA KIKOSI CHA DUNIA.

ZURICH, Switzerland
UMOJA wa wachezaji Duniani (FIFPro) na Shirikisho la Soka Duniani (FIFA) limeteua majina ya wachezaji 55 kwa ajili ya uteuzi wa timu ya Dunia maarufu kama FIFA/FIFPro World XI 2010, kikosi ambacho kitatajwa Januari 10, 2011 Zurich, Uswis.

Wachezaji wakulipwa 50,000 ambao wapo katika umoja huo duniani na kuunda FIFPro walipatiwa fomu kwa ajili ya uteuzi wa kikosi wanachokiona kinafaa kuwa cha dunia wakichagua mabeki bora wanne, viungo watatu, washambuliaji watatu na mlinda mlango mmoja kwa mwaka 2010.

Mabingwa wa Dunia Hispania ndio yenye wachezaji wengi zaidi katika orodha hiyo ikiwakilishwa na wachezaji kumi, Brazil ndio wanaofuatia ikiwa na wachezaji tisa, wachezaji nane kutoka Argentina, sita kutoka Uingereza, wanne kutoka ujerumani, Uholanzi na Italia inawakilishwa na wachezaji watatu kila nchi, wawili kutoka Ureno na mchezaji mmoja kutoka nchi za Uruguay, Wales, France, Bulgaria, Serbia, Czech Republic, Sweden, Ghana, Ivory Coast na Cameroon.

Ifuatayo chini ni orodha kamili ya wachezaji 55 walioteuliwa na nchi pamoja na timu wanazocheza katika mabano;

MAKIPA: Gianluigi Buffon (Italy, Juventus FC), Iker Casillas (Spain, Real Madrid C.F.), Petr Cech (Czech Republic, Chelsea FC), Julio Cesar (Brazil, F.C. Internazionale), Edwin van der Sar (Netherlands, Manchester United FC)

MABEKI: Daniel Alves (Brazil, FC Barcelona), Gareth Bale (Wales, Tottenham Hotspur), Michel Bastos (Brazil, Olympique Lyonnais), Ashley Cole (England, Chelsea FC), Patrice Evra (France, Manchester United FC), Rio Ferdinand (England, Manchester United FC), Philipp Lahm (Germany, FC Bayern Munchen), Lucio (Brazil, F.C. Internazionale), Maicon (Brazil, F.C. Internazionale), Marcelo (Brazil, Real Madrid C.F.), Alessandro Nesta (Italy, AC Milan), Pepe (Portugal, Real Madrid C.F.), Gerard Pique (Spain, FC Barcelona), Carles Puyol (Spain, FC Barcelona), Sergio Ramos (Spain, Real Madrid C.F.), Walter Samuel (Argentina, F.C. Internazionale), John Terry (England, Chelsea FC), Thiago Silva (Brazil, AC Milan), Nemanja Vidic (Serbia, Manchester United FC), Javier Zanetti (Argentina, F.C. Internazionale)

VIUNGO: Esteban Cambiasso (Argentina, F.C. Internazionale), Michael Essien (Ghana, Chelsea FC), Cesc Fabregas (Spain, Arsenal FC), Steven Gerrard (England, Liverpool FC), Andres Iniesta (Spain, FC Barcelona), Ricardo Kaka (Brazil, Real Madrid C.F.), Frank Lampard (England, Chelsea FC), Javier Mascherano (Argentina, FC Barcelona), Thomas Muller (Germany, FC Bayern Munchen), Mesut Oezil (Germany, Real Madrid C.F.), Andrea Pirlo (Italy, AC Milan), Bastian Schweinsteiger (Germany, FC Bayern Munchen), Wesley Sneijder (Netherlands, F.C. Internazionale), Xabi Alonso (Spain, Real Madrid C.F.), Xavi (Spain, FC Barcelona)

No comments:

Post a Comment