KUTOKA kushoto ni Katibu Mkuu wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika Mashariki na Kati (CECAFA) Nicholas Msonye, Mwenyekiti wa Baraza la Michezo nchini (BMT) Kanali Mstaafu Alhaji Iddi Kipingu, Mkurugenzi wa Mauzo wa Serengeti Breweries Caroline Ndungu na Mkurugenzi wa Mahusiano Teddy Mapunda wakionyesha Kombe la CECAFA TUSKER CHALLENGE CUP kwa waandishi wa habari katika hafla fupi ya uzinduzi iliyofanyika katika Hotel ya New Africa.
Mkurugenzi wa Mahusiano SBL Bi. Teddy Mapunda akizungumza na waandishi wa habari wakati wa uzinduzi wa Kombe la TUSKER CHALLENGE CUP 2010 leo mchana katika Hotel ya New Africa.
Meneja wa Kampeni United Against Malaria David Kyne(kulia) akizungumza leo mchana muda mfupi baada ya kuzindua Kombe la TUSKER CHALLENGE CUP 2010 wa pili toka kulia ni Mkurugenzi wa Mauzo SBL Caroline Ndungu akifuatiwa na Bi. Teddy Mapunda, Mwenyekiti wa Baraza la Michezo (BMT) Kanali mstaafu Alhaji Idd Kipingu,pamoja na Katibu Mkuu wa Shirikisho la mpira wa Miguu Afrika Mashariki (CECAFA) Nicholas Msonye.
WAANDISHI kutoka vyombo mbalimbali vya habari hapa nchini wakifuatilia kwa karibu hafla fupi ya uzinduzi wa Kombe la CECAFA TUSKER CHALLENGE CUP 2010.
No comments:
Post a Comment