![]() |
Peter Crouch akifunga bao la ushindi dhidi ya AC Milan jana usiku katika Uwanja wa San Siro, Milan. |
![]() |
Wachezaji wa Tottenham wakishangilia bao pekee lilifungwa na Crouch dhidi ya AC Milan jana usiku. |
![]() |
Mchezaji wa Tottenham Corluka akigaragara chini baada ya kuchezewa vibaya na Flamini wa AC Milan jana usiku. |
![]() |
Mchezaji wa AC Milan Gattuso akigombana na kocha msaidizi wa Tottenham Joe Jordan wakati timu hizo zilipokutana jana usiku. |
No comments:
Post a Comment