![]() |
Mshambuliaji wa timu ya Taifa ya Uingereza Andy Carroll akishangilia mara baada ya kuifungia timu yake bao la kuongoza dhidi wakati timu hizo zilipocheza usiku huu. |
![]() |
Carroll akiachia shuti kali la mguu wa kushoto lililompita kipa wa Ghana Richard Kingston na kutinga wavuni. |
![]() |
Mashabiki wa Ghana wapatao 18,000 waliohudhuria mchezo huo kuishangilia timu yao usiku huu. |
![]() |
Golikipa wa Uingereza Joe Hart akiokoa hatari langoni mwake katika mchezo huo. |
![]() |
Winga wa Uingereza Ashley Young akipiga shuti kali huku beki wa Ghana akijaribu kumzuia, shuti hilo la mchezaji liliokolewa na golikipa Kingston. |
No comments:
Post a Comment