![]() |
Mshambuliaji wa Man United Wayne Rooney akipiga shuti ambalo lilizaa bao la kuongoza dhidi ya Chelsea wakati timu hizo zilikutana katika Uwanja wa Stamford Bridge usiku huu. |
![]() |
Rooney na Luis Nani wakishangilia mara baada ya kufungwa kwa bao hilo. |
![]() |
Wachezaji wa Chelsea wakimpongeza David Luiz mara baada ya kusawazisha bao katika mchezo huo. |
![]() |
Kiungo wa Chelsea Frank Lampard akipiga penati baada beki wa Man United Smalling kumfanyia madhambi kiungo Zhirkov katika eneo la hatari. |
![]() |
Lampard na Didier Drogba wakishangilia mara baada ya mchezaji kuiandikia timu yake bao la pili na kuifanya Chelsea kuibuka na ushindi wa mabao 2-1. |
![]() |
Wachezaji Nani wa Man United na Ivanovic wa Chelsea wakichimbana biti mapema kipindi cha kwanza katika mchezo huo. |
No comments:
Post a Comment