Sunday, July 10, 2011

YANGA MABINGWA WAPYA KOMBE LA KAGAME.

Kikosi kamili cha Yanga kilichoisambaratisha Simba kwa bao 1-0 katika mchezo wa fainali ya mchezo wa Kombe Kagame uliofanyika Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.

Wachezaji wa wakinyanyua juu kombe lao la ushindi.

Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Emmanuel Nchimbi akimkabidhi Nahodha wa Yanga Shadrack Nsajigwa kitita cha Dola 30,000 kama zawadi kwa washindi.

Skrini kubwa ya uwanjani ikionyesha matokeo yalivyokuwa.

Mashabiki wa Yanga waliojitokeza uwanjani.

Mashabiki wa Simba wakiwa hawaamini kilichotokea mara baada ya timu yao ,kufungwa bao katika dakika za nyongeza.

No comments:

Post a Comment