Tuesday, October 26, 2010

FIFA YATEUA MAJINA YA WATAKAOGOMBEA TUZO YA MCHEZAJI BORA.

ZURICH, Switzerland
SHIRIKISHO la Soka la Dunia (FIFA) limetangaza majina ya wachezaji watakaowania tuzo ya mchezaji bora wa dunia na makocha watakaowania tuzo kama hiyo pamoja na tuzo zingine ambazo zitakabidhiwa kwa mashujaa hao wa michezo kwa mchango wao.

Washindi watatangazwa Januari 10, 2011 mjini Zurich. Tuzo hizo zitajumuisha kwa mara ya pili tuzo ya FIFA ya Puskas kwa goli zuri na tuzo ya FIFA Fair Play itakuwa mojawapo kwa timu na mchezaji mmoja mmoja.

Orodha ya Mchezaji Bora wa Mwaka wa Dunia imejumuisha wale waliofanya vizuri katika Kombe la Dunia lilifanyika Afrika Kusini. Majina ya Mabingwa wa kombe hilo Hispania na Germany ambao walifika nusu fainali ndio yako mengi katika orodha hiyo.

Majina ya wachezaji hao na nchi zao katika mabano ni pamoja na
 
 

Xabi Alonso
(Spain)
 Dani Alves
(Brazil)
Iker Casillas
(Spain)
 Cristiano Ronaldo
(Portugal)
Didier Drogba
(Ivory Coast)
 Samuel Eto'o
(Cameroon)
Cesc Fabregas
(Spain)
 Asamoah Gyan
(Ghana)
Julio Cesar
(Brazil)
 Miroslav Klose
(Germany)
Philipp Lahm
(Germany)
 Maicon
(Brazil)
Thomas Mueller
(Germany)
 Arjen Robben
(Netherlands)
Bastian Schweinsteiger
(Germany)
 David Villa
(Spain)
Xavi
(Spain)
 Carles Puyol
(Spain)
Andres Iniesta
(Spain)
 Diego Forlan
(Uruguay)
Lionel Messi
(Argentina)
 Mesut Oezil
(Germany)
Wesley Sneijder
(Netherlands)
  

 

Majina ya makocha kumi na vilabu wanavyofundisha ni pamoja na

Carlo Ancelotti
(Chelsea)
 Vicente del Bosque
(Spain)
Alex Ferguson
(Manchester United)
 Pep Guardiola
(Barcelona)
Joachim Loew
(Germany)
 Jose Mourinho
(Inter & Real Madrid)
Oscar Tabarez
(Uruguay)
 Louis van Gaal
(Bayern Munich)
Bert van Marwijk
(Netherlands)
 Arsene Wenger
(Arsenal)

No comments:

Post a Comment