Monday, December 13, 2010

MANCHESTER UNITED 1 ARSENAL 0

MCHEZAJI wa Park Ji-Sung wa Manchester United akishangilia bao wakati timu hiyo ilipokuwa ikimenyana na Arsenal usiku huu katika Uwanja wa Old Traford, bao ambalo ndilo pekee lilifungwa katika mchezo huo limeiwezesha United kushikilia usukani katika msimamo wa Ligi Kuu ya Uingereza kwa pointi mbili zaidi ya Arsenal na Chelsea zinazofuatia katika msimamo wa ligi hiyo huku wakiwa na mchezo mmoja mkononi.

No comments:

Post a Comment