Thursday, December 2, 2010

URUSI KUANDAA KOMBE LA DUNIA 2018, QATAR 2022.

ZURICH, Switzerland
SHIRIKISHO la Soka la Dunia (FIFA) imefikia uamuzi na kuwapa kibali Urusi kuwa wenyeji wa KOmbe la Dunia 2018. Urusi walikuwa wanakabiliwa na upinzani mkubwa kutoka Uingereza, lakini Kamati ya Utendaji ya FIFA iliamua kuipa nafasi hiyo Urusi.

Kura zilipigwa na Kamati ya Utendaji ya Shirikisho hilo lenye wajumbe 24, na hiyo itakuwa ni mara ya kwanza kwa nchi hiyo kuandaa michuano hiyo mikubwa na muhimu duniani.

Wakati huohuo FIFA limeiteua nchi ya Qatar kuandaa fainali za Kombe la Dunia 2022. Katika kinyang'anyiro hicho Qatar ilikuwa ikikabiliwa na upinzani mkubwa kutoka kwa USA, lakini Kamati ya Utendaji iliamua kuipa nafasi hiyo Qatar.

Katika kinyang'aro hicho nchi zingine ambazo zilikuwa zikitaka nafsi hiyo ni pamoja na South Korea, Japan, Australia na USA, lakini zote hizo hazikufanikiwa.
 
Baada ya Kombe la Dunia 2002 liliandaliwa bara la Asia hii itakuwa ni mara ya pili kwa bara hilo kupata nafasi ya kuwa mwenyeji.

Ifuatayo chini ni orodha ya nchi ambazo zimeshawahi kuandaa michuano hiyo, washindi, idadi ya mabao pamoja na washindi wa pili.


Year
Host
Winners
Score
Runners-up
1930
Uruguay
Uruguay
4-2
Argentina
1934

Italy
Italy
2-1
Czechoslovakia
1938

France
Italy
4-2
Hungary
1950

Brazil
Uruguay
2-1
Brazil
1954

Switzerland
West Germany
3-2
Hungary
1958

Sweden
Brazil
5-2
Sweden
1962

Chile
Brazil
3-1
Czechoslovakia
1966

England
England
4-2 (a.e.t)
West Germany
1970
Mexico
Brazil
4–1
Italy
1974

West Germany
West Germany
2–1
Netherlands
1978
Argentina
Argentina
3–1
(a.e.t.)
Netherlands
1982

Spain
Italy
3–1
West Germany
1986

Mexico
Argentina
3–2
West Germany
1990

Italy
West Germany
1–0
Argentina
1994

USA
Brazil
0–0
(a.e.t.)
(3–2 pen.)
Italy
1998

France
France
3–0
Brazil
2002

South Korea
& Japan
Brazil
2–0
Germany
2006

Germany
Italy
1–1
(a.e.t.)
(5–3 pen.)
France
2010

South Africa
Spain
1–0
(a.e.t.)
Netherlands
2014

Brazil


 
2018

Russia


 
2022

Qatar


 

No comments:

Post a Comment