Monday, March 28, 2011

SCOTLAND YASHINDWA KUTAMBA KWA BRAZIL.

Mshambuliaji kinda wa Brazil Neymar akipiga mpira ambao beki huyo wa Scotland aliunawa na kusababusha Penati wakati timu hizo zilimenyana katika Uwanja wa Emirates, Uingereza jana usiku. Brazil ilishinda 2-0.

Golikipa wa Scotland akiufuata mpira bila matumaini na kutinga wavuni kuandika bao la kwanza la Brazil.

Neymar akipiga penati kuindikia timu yake ya Brazil bao la pili dhidi ya Scotland.

Mchezaji Nguli wa Brazil ambaye ndiye alikuwa mgeni rasmi katika mchezo ulizikutanisha timu hizo akipunga mkono kwa mashabiki.

Mashabiki wakijiandaa kuingia Uwanjani kushuhudia mchezo kati ya Brazil na Scotland.

No comments:

Post a Comment