![]() |
Mshambuliaji wa Arsenal Aaron Ramsey akifunga bao huku kipa wa Manchester United Edwin van de Sar katika mchezo ulizikutanisha timu hizo jioni hii katika Uwanja wa Emirates. |
![]() |
Ramsey akishangilia bao lake. |
![]() |
Van der Sar akiangalia mpira ulipigwa na Ramsey na kutinga wavuni. |
![]() |
Patrice Evra wa Man United akimchezea ndivyo sivyo Theo Walcott wa Arsenal katika eneo la hatari la mwamuzi wa mchezo huo alipeta. |
![]() |
Wachezaji wa Man United wakimnyooshea mikono mwamuzi kudai tuta baada ya Michael owen kuangushwa eneo la hatari hiyo nayo mwamuzi alipeta. |
![]() |
Homa ya mchezo, wachezaji wa Arsenal na Man United wakizozana katika moja ya purukushani za mchezo huo. |
![]() |
Mkali wa muvi huko Hollwood mwanadada Charlize Theron akiwa amepozi huku akishuhudia mchezo Arsenal na Manchester United jioni hii. |
![]() |
Babu Ferg kiti kilikuwa cha moto. |
![]() |
Wayne Rooney katika purukushani na Alex Song. |
No comments:
Post a Comment