Sunday, July 31, 2011
KLISMANN ACHUKUA MIKOBA YA KUINOA MAREKANI.
MCHEZAJI na kocha wa zamani wa timu ya taifa ya Ujerumani Jurgen Klismann ameteuliwa kuwa kocha mpya wa timu ya taifa ya Marekani akimbadili Bob Bradley aliyetimuliwa wiki hii.
Bradley alitimuliwa jana Alhamisi baada ya miaka 5 ya uongozi, na sasa U.S soccer president Sunil Gulati amemtangaza Klismann kuwa manager mpya wa benchi la ufundi la watoto wa Obama.
Klismann ataiongoza U.S kwa mara ya kwanza katika mechi dhidi ya Mexico on August 10
Bradley alitimuliwa jana Alhamisi baada ya miaka 5 ya uongozi, na sasa U.S soccer president Sunil Gulati amemtangaza Klismann kuwa manager mpya wa benchi la ufundi la watoto wa Obama.
Klismann ataiongoza U.S kwa mara ya kwanza katika mechi dhidi ya Mexico on August 10
DIABY AFANYIWA UPASUAJI.
LONDON, England
KIUNGO wa Arsenal Abou Diaby amefanyiwa operation ya enka na atakaa nje ya uwanja kwa wiki 10, Kocha Arsene Wenger ametangaza leo.
Kiungo huyo mfaransa alikuwa akisumbuliwa na maumivu ya enka mwishoni mwa msimu uliopita, jambo ambalo limemkosesha kushiriki katika mechi za kujiandaa na msimu mpya.
Diaby anategemewa kuwa nje mpaka mwezi wa tisa, hivyo atakosa michezo ya premier league dhidi ya Newcastle, Liverpool na Manchester United kwa pamoja ya play off za champions league.
KIUNGO wa Arsenal Abou Diaby amefanyiwa operation ya enka na atakaa nje ya uwanja kwa wiki 10, Kocha Arsene Wenger ametangaza leo.
Kiungo huyo mfaransa alikuwa akisumbuliwa na maumivu ya enka mwishoni mwa msimu uliopita, jambo ambalo limemkosesha kushiriki katika mechi za kujiandaa na msimu mpya.
Diaby anategemewa kuwa nje mpaka mwezi wa tisa, hivyo atakosa michezo ya premier league dhidi ya Newcastle, Liverpool na Manchester United kwa pamoja ya play off za champions league.
ARSENAL YAMFUNGIA KIBWEBWE JUAN MATA.
LONDON, England
ARSENAL wanamatumaini makubwa ya kuwanasa kiungo Juan Mata na beki Phil Jagielka kwa kitita cha paundi milioni 34.
Winga wa Valencia Mata amewambia marafiki zake anajiunga na the Gunners kwa ada ya paundi milioni 19.
Wakati huo huo Arsene Wenger yupo mbioni kumnasa beki wa Everton Jagielka kwa ada ya paundi milioni 15.
Jagielka, mwenye umri wa miaka 28 anataraji kuhitaji mkataba wa miaka minne na mshahara wa paundi £100,000 kwa week.
Naye mshambuliaji Nicklas Bendtner yupo mbioni kujiunga na Sporting Lisbon kes sds ys psundi milioni 9
ARSENAL wanamatumaini makubwa ya kuwanasa kiungo Juan Mata na beki Phil Jagielka kwa kitita cha paundi milioni 34.
Winga wa Valencia Mata amewambia marafiki zake anajiunga na the Gunners kwa ada ya paundi milioni 19.
Wakati huo huo Arsene Wenger yupo mbioni kumnasa beki wa Everton Jagielka kwa ada ya paundi milioni 15.
Jagielka, mwenye umri wa miaka 28 anataraji kuhitaji mkataba wa miaka minne na mshahara wa paundi £100,000 kwa week.
Naye mshambuliaji Nicklas Bendtner yupo mbioni kujiunga na Sporting Lisbon kes sds ys psundi milioni 9
Saturday, July 30, 2011
TFF YALETEWA MAOMBI YA KUMSAJILI MGOSI NA DC MOTEMA PEMBE.
DAR ES SALAAM, Tanzania
SHIRIKISHO la soka la Tanzania TFF, limethibitisha kupokea maombi toka klabu ya Darlng club Motema Pembe ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, juu ya uhamisho wa mshambuliaji wa klabu ya Simba Mussa Hassan Mgosi.
Kwa mujibu wa katibu mkuu wa shirikisho la soka la Tanzania TFF, Angetile Osiah amesema kwamba, maridhiano kwa pande zote mbili yamefikiwa, ambapo sasa Mgosi ataruhusiwa kuichezea klabu hiyo ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.
SHIRIKISHO la soka la Tanzania TFF, limethibitisha kupokea maombi toka klabu ya Darlng club Motema Pembe ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, juu ya uhamisho wa mshambuliaji wa klabu ya Simba Mussa Hassan Mgosi.
Kwa mujibu wa katibu mkuu wa shirikisho la soka la Tanzania TFF, Angetile Osiah amesema kwamba, maridhiano kwa pande zote mbili yamefikiwa, ambapo sasa Mgosi ataruhusiwa kuichezea klabu hiyo ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.
Thursday, July 28, 2011
AGUERO AKAMILISHA UHAMISHO WA KIHISTORIA MAN CITY.
MANCHESTER, England
MSHAMBULIAJI wa Kimataifa toka Argentina Sergio Aguero atakuwa ndio mchezaji ghali zaidi katika historia ya klabu ya Manchester City.
Man City wamekubali kulipa paundi milioni 35 kiasi ambacho kitaongezeka kutoka klabu yake ya zamani Atletico Madrid na atapewa mkataba wa miaka mitano utaomuwezesha awe anakunja paundi 200,000 kwa wiki, kitita cha kumchukua moja kwa moja kinatarajiwa kufikia paundi milioni 85.
Aguero (23) ambaye atakuwa akivaa jezi namba 16 akiwa na City alikwenda Manchester Jumatano asubuhi baada ya kukatisha mapumziko na familia yake huko kwao.
Alichukuliwa vipimo vya afya kwa muda wa masaa matatu kabla ya kukubali kuitumikia klabu hiyo inayotumia Uwanja wa Etihad ambapo alilakiwa na mamia ya mashabiki waliojitokeza kumkaribisha na kusaini vitabu vyao.
MSHAMBULIAJI wa Kimataifa toka Argentina Sergio Aguero atakuwa ndio mchezaji ghali zaidi katika historia ya klabu ya Manchester City.
Man City wamekubali kulipa paundi milioni 35 kiasi ambacho kitaongezeka kutoka klabu yake ya zamani Atletico Madrid na atapewa mkataba wa miaka mitano utaomuwezesha awe anakunja paundi 200,000 kwa wiki, kitita cha kumchukua moja kwa moja kinatarajiwa kufikia paundi milioni 85.
![]() |
Aguero akisaini karatasi za mashabiki wa Man City waliojitokeza kumlaki. |
Alichukuliwa vipimo vya afya kwa muda wa masaa matatu kabla ya kukubali kuitumikia klabu hiyo inayotumia Uwanja wa Etihad ambapo alilakiwa na mamia ya mashabiki waliojitokeza kumkaribisha na kusaini vitabu vyao.
FOOTBALLERS ON TWITTER TODAY.
"I am a City player already. I am happy to be at this club and in this city. Thank you everyone for the welcome and the reception !!!"
Manchester City's latest reinforcement Sergio Aguero confirmed the move on Twitter before the two clubs have said anything on the matter. (http://twitter.com/aguerosergiokun)
"I have damaged my ACL and lateral meniscus and will miss rest of season.I'm absolutely devastated but am determined to come back stronger!"
Arsenal's Conor Henderson was heartbroken to sustain a serious injury which will keep him on the sidelines for at least six months. (http://twitter.com/Henderson_91)
"Aguero I pray! Tevez balotelli dzeko Ouch! City are back"
England defender Micah Richards is excited with Manchester City's chances following the signing of Aguero. (http://twitter.com/OfficialMR2)
"Now I can have photos of me without a shirt being taken without being crushed by the press"
Brazil legend Ronaldo is relieved that his physical shape is no longer under scrutiny by the media. (http://twitter.com/ClaroRonaldo)
Manchester City's latest reinforcement Sergio Aguero confirmed the move on Twitter before the two clubs have said anything on the matter. (http://twitter.com/aguerosergiokun)
"I have damaged my ACL and lateral meniscus and will miss rest of season.I'm absolutely devastated but am determined to come back stronger!"
Arsenal's Conor Henderson was heartbroken to sustain a serious injury which will keep him on the sidelines for at least six months. (http://twitter.com/Henderson_91)
"Aguero I pray! Tevez balotelli dzeko Ouch! City are back"
England defender Micah Richards is excited with Manchester City's chances following the signing of Aguero. (http://twitter.com/OfficialMR2)
"Now I can have photos of me without a shirt being taken without being crushed by the press"
Brazil legend Ronaldo is relieved that his physical shape is no longer under scrutiny by the media. (http://twitter.com/ClaroRonaldo)
Monday, July 25, 2011
Tuesday, July 19, 2011
Monday, July 18, 2011
SAKATA LA FABREGAS, ARSENAL WAWAPA BARCA WIKI MBILI.
BARCELONA, Hispania
KLABU ya Arsenal imewapa mabingwa wa Ulaya Barcelona wiki mbili kukamilisha uhamisho wa Cesc Fabregas kwa kulipa pesa inayotakiwa na Arsenal £40million, la sivyo Fabregas ataendelea kubaki Emirates.
Jana usiku mmoja wa kati ya viongozi wa juu wa Barca alisema: "Arsenal wametufahamisha kuwa ikiwa hatukamilisha uhamisho wa Cesc mpaka wa mwisho wa mwezi huu then Fabregas atabaki London."
"Pia walituambia hawakuwa wakipenda kumuuza nahodha wao ingawa wapo tayari kupokea ofa Cesc kurudi nyumbani.Walisisitiza pia kuwa wamekuwa wakilishughulikia suala hili fairly kwa mchezaji na Barcelona.Wamesema hawapo tayari kuendelea kusubiri zaidi, na watafunga mjadala wa uhamisho huu kabla ya kuanza kwa msimu mpya.
"Tunaelewa kwamba hakuna uwezekano wa Arsenal kumuuza Cesc kwa pesa tuliyoweka mezani lakini uamuzi wa mwisho unabakia kwa raisi wetu Sandro Rossell."
KLABU ya Arsenal imewapa mabingwa wa Ulaya Barcelona wiki mbili kukamilisha uhamisho wa Cesc Fabregas kwa kulipa pesa inayotakiwa na Arsenal £40million, la sivyo Fabregas ataendelea kubaki Emirates.
Jana usiku mmoja wa kati ya viongozi wa juu wa Barca alisema: "Arsenal wametufahamisha kuwa ikiwa hatukamilisha uhamisho wa Cesc mpaka wa mwisho wa mwezi huu then Fabregas atabaki London."
"Pia walituambia hawakuwa wakipenda kumuuza nahodha wao ingawa wapo tayari kupokea ofa Cesc kurudi nyumbani.Walisisitiza pia kuwa wamekuwa wakilishughulikia suala hili fairly kwa mchezaji na Barcelona.Wamesema hawapo tayari kuendelea kusubiri zaidi, na watafunga mjadala wa uhamisho huu kabla ya kuanza kwa msimu mpya.
"Tunaelewa kwamba hakuna uwezekano wa Arsenal kumuuza Cesc kwa pesa tuliyoweka mezani lakini uamuzi wa mwisho unabakia kwa raisi wetu Sandro Rossell."
MAN CITY WAKUBALI OFA YA CORINTHIANS KUHUSU TEVEZ.
VANCOUVER, Canada
HATIMAYE kocha Roberto Mancini amethibitisha kuwa ofa ya Corinthians ya kumsajili Carlos Tevez imekubaliwa.
Manchester City ambao walikataa ofa ya £40million kutoka kwa wakatoliki wa wabrazil last week, lakini akiongea na Sky Sports News nchini Marekani Mancini alisema: "Tumekubaliana na Corinthians lakini Tevez bado kwa sasa ni mchezaji wa City."
Alipoulizwa kama Tevez sasa ataanza kuzungumza na Corinthians kwa ajili matakwa binafsi Mancini alisema, "Sijui kuhusu hili, Narudia kwa muda huu Carlos bado ni mchezaji wa City."
Baadhi ya wachezaji wa City akiwemo Joleon Lescott amekiri atakuwa disappointed kuona mchezaji mwenzie akiondoka ingawa anaheshimu maamuzi yake.
HATIMAYE kocha Roberto Mancini amethibitisha kuwa ofa ya Corinthians ya kumsajili Carlos Tevez imekubaliwa.
Manchester City ambao walikataa ofa ya £40million kutoka kwa wakatoliki wa wabrazil last week, lakini akiongea na Sky Sports News nchini Marekani Mancini alisema: "Tumekubaliana na Corinthians lakini Tevez bado kwa sasa ni mchezaji wa City."
Alipoulizwa kama Tevez sasa ataanza kuzungumza na Corinthians kwa ajili matakwa binafsi Mancini alisema, "Sijui kuhusu hili, Narudia kwa muda huu Carlos bado ni mchezaji wa City."
Baadhi ya wachezaji wa City akiwemo Joleon Lescott amekiri atakuwa disappointed kuona mchezaji mwenzie akiondoka ingawa anaheshimu maamuzi yake.
Sunday, July 17, 2011
KIATU KIPYA CHA BECKHAM.
Saturday, July 16, 2011
UHAMISHO WA WACHEZAJI 2011/12.
DAR ES SALAAM, Tanzania
UHAMISHO wa wachezaji wa Ligi Kuu kwa msimu wa 2011/2012 ulifikia tamati jana saa 6 kamili usiku.Wachezaji ambao maombi yao ya uhamisho yamewasilishwa TFF ni Shabani Kado kutoka Mtibwa Sugar kwenda Yanga, Salum Machaku kutoka Mtibwa Sugar kwenda Simba na Idrisa Rajab kutoka African Lyon kwenda Yanga.
Hao ni kwa wachezaji ambao maombi yao yametumwa kwa njia ya barua. Kwa vile uhamisho vile vile unaweza kufanywa kwa njia ya mtandao (Transfer Match System-TMS), uhamisho mwingine uliofanyika utafahamika kesho baada ya Kurugenzi ya Mashindano kupitia mfumo huo wa TMS ambao klabu zote za Ligi Kuu tayari zina namba zao maalumu za kuingia (passwords).
WACHEZAJI WALIOTOLEWA KWA MKOPO
Wachezaji waliotolewa kwa mkopo kutoka Simba kwenda klabu zingine ni Aziz Gilla na Mbwana Bakari (Coastal Union), Mohamed Kijuso, Mohamed Banka na Haruna Shamte (Villa Squad), Meshack Abel (Ruvu Shooting), Juma Jabu, Andrew Kazembe, Paulo Terry na Godfrey Wambura (Moro United).
Kutoka Azam ni Sino Augustino na Selemani Kassim ambao wanakwenda African Lyon,na Tumba Louis (Moro United). Yanga imewapeleka wachezaji wake Omega Seme na Idd Mbaga kwa mkopo African Lyon.
MORO UNITED KUCHEZA CHAMAZI
Klabu ya Moro United imewasilisha barua ya kutumia Uwanja wa Azam ulioko Chamazi, Dar es Salaam kwa ajili ya mechi za Ligi Kuu ya Vodacom. Nayo Villa Squad imeomba kutumia uwanja huo huo, ingawa bado haijaonesha barua kutoka Azam inayowaruhusu kutumia uwanja wao.
Klabu ya African Lyon ndiyo pekee ambayo bado haijawasilisha uwanja ambao itautumia kwa ajili ya ligi hiyo itakayoanza Agosti 20 mwaka huu. Kwa Lyon kushindwa kuleta jina la uwanja wake hadi sasa inasababisha TFF kuchelewa kutoa ratiba ya ligi, hivyo tunaitaka Lyon kutimiza wajibu wake katika suala hilo haraka.
UHAMISHO wa wachezaji wa Ligi Kuu kwa msimu wa 2011/2012 ulifikia tamati jana saa 6 kamili usiku.Wachezaji ambao maombi yao ya uhamisho yamewasilishwa TFF ni Shabani Kado kutoka Mtibwa Sugar kwenda Yanga, Salum Machaku kutoka Mtibwa Sugar kwenda Simba na Idrisa Rajab kutoka African Lyon kwenda Yanga.
Hao ni kwa wachezaji ambao maombi yao yametumwa kwa njia ya barua. Kwa vile uhamisho vile vile unaweza kufanywa kwa njia ya mtandao (Transfer Match System-TMS), uhamisho mwingine uliofanyika utafahamika kesho baada ya Kurugenzi ya Mashindano kupitia mfumo huo wa TMS ambao klabu zote za Ligi Kuu tayari zina namba zao maalumu za kuingia (passwords).
WACHEZAJI WALIOTOLEWA KWA MKOPO
Wachezaji waliotolewa kwa mkopo kutoka Simba kwenda klabu zingine ni Aziz Gilla na Mbwana Bakari (Coastal Union), Mohamed Kijuso, Mohamed Banka na Haruna Shamte (Villa Squad), Meshack Abel (Ruvu Shooting), Juma Jabu, Andrew Kazembe, Paulo Terry na Godfrey Wambura (Moro United).
Kutoka Azam ni Sino Augustino na Selemani Kassim ambao wanakwenda African Lyon,na Tumba Louis (Moro United). Yanga imewapeleka wachezaji wake Omega Seme na Idd Mbaga kwa mkopo African Lyon.
MORO UNITED KUCHEZA CHAMAZI
Klabu ya Moro United imewasilisha barua ya kutumia Uwanja wa Azam ulioko Chamazi, Dar es Salaam kwa ajili ya mechi za Ligi Kuu ya Vodacom. Nayo Villa Squad imeomba kutumia uwanja huo huo, ingawa bado haijaonesha barua kutoka Azam inayowaruhusu kutumia uwanja wao.
Klabu ya African Lyon ndiyo pekee ambayo bado haijawasilisha uwanja ambao itautumia kwa ajili ya ligi hiyo itakayoanza Agosti 20 mwaka huu. Kwa Lyon kushindwa kuleta jina la uwanja wake hadi sasa inasababisha TFF kuchelewa kutoa ratiba ya ligi, hivyo tunaitaka Lyon kutimiza wajibu wake katika suala hilo haraka.
Friday, July 15, 2011
BOATENG ATUA RASMI BAYERN.
MUNICH, Ujerumani
BEKI wa Bayern Munich Jerome Boateng amefurahishwa sana na jinsi uhamisho wake kutoka Manchester City ulivyokamilika.
Boateng (22) yuko Munich kumalizia uhamisho wake baada ya Bayern kutangaza kuwa wamekubaliana na Man City kuhusu uhamisho huo Alhamisi.
Boateng anaishukuru Bayern kwa kazi kubwa walioifanya baada ya vuta nikuvute kuhusu ada ambayo mpaka sasa haijawekwa wazi.
"Sasa nina furaha isiyo na kifani hili suala limekwisha salama na nashukuru klabu haikukata tamaa pamoja na mazungumzo kuhusu kuuzwa kwangu kuwa magumu."
Beki huyo wa kimataifa wa Ujerumani anarajiwa kusaini mkataba wa miaka minne pindi atapomaliza vipimo vyake vya afya.
BEKI wa Bayern Munich Jerome Boateng amefurahishwa sana na jinsi uhamisho wake kutoka Manchester City ulivyokamilika.
Boateng (22) yuko Munich kumalizia uhamisho wake baada ya Bayern kutangaza kuwa wamekubaliana na Man City kuhusu uhamisho huo Alhamisi.
Boateng anaishukuru Bayern kwa kazi kubwa walioifanya baada ya vuta nikuvute kuhusu ada ambayo mpaka sasa haijawekwa wazi.
"Sasa nina furaha isiyo na kifani hili suala limekwisha salama na nashukuru klabu haikukata tamaa pamoja na mazungumzo kuhusu kuuzwa kwangu kuwa magumu."
Beki huyo wa kimataifa wa Ujerumani anarajiwa kusaini mkataba wa miaka minne pindi atapomaliza vipimo vyake vya afya.
MESSI: NI MAKOSA KUIFANISHA ARGENTINA NA BARCELONA.
CORDOBA, Argentina.
MSHAMBULIAJI wa kimataifa wa Argentina na klabu ya Barcelona Leonel Messi amedai kwamba haina maana yoyote kuifananisha timu yake ya Taifa na klabu yake.
Ujumbe wake huo umekuja ikiwa ni siku moja baada ya kuandamwa kuwa anacheza chini ya kiwango awapo timu ya taifa tofauti na anavyocheza katika klabu yake.
Lakini Messi alifafanua sababu za kwanini awapo klabuni anacheza kwa kiwango cha juu ukilinganisha na awapo timu ya taifa.
"Kuifananisha Argentina na Barcelona ni makosa," Alisema Messi akihojiwa na katika mkutano wa waandishi juu ya mchezo wao wa robo fainali ya michuano ya Copa America Jumamosi dhidi ya Uruguay.
"Tunafanya kazi kwa muda mrefu tukiwa Barcelona, wakati katika timu ya taifa tunajaribu kufanya vitu vinavyofanana. Hatahivyo huwezi kufananisha timu hizo mbili," alisema Messi.
"Mchezo dhidi ya uruguay utakuwa nimgumu, lakini ndoto zetu ni kushinda mashindano hayo," alisema Messi.
"Tunahitaji kunyakuwa kombe la Copa America kama Argentina inavyohitaji taji na tunalifanyia kazi hili."
MSHAMBULIAJI wa kimataifa wa Argentina na klabu ya Barcelona Leonel Messi amedai kwamba haina maana yoyote kuifananisha timu yake ya Taifa na klabu yake.
Ujumbe wake huo umekuja ikiwa ni siku moja baada ya kuandamwa kuwa anacheza chini ya kiwango awapo timu ya taifa tofauti na anavyocheza katika klabu yake.
Lakini Messi alifafanua sababu za kwanini awapo klabuni anacheza kwa kiwango cha juu ukilinganisha na awapo timu ya taifa.
"Kuifananisha Argentina na Barcelona ni makosa," Alisema Messi akihojiwa na katika mkutano wa waandishi juu ya mchezo wao wa robo fainali ya michuano ya Copa America Jumamosi dhidi ya Uruguay.
"Tunafanya kazi kwa muda mrefu tukiwa Barcelona, wakati katika timu ya taifa tunajaribu kufanya vitu vinavyofanana. Hatahivyo huwezi kufananisha timu hizo mbili," alisema Messi.
"Mchezo dhidi ya uruguay utakuwa nimgumu, lakini ndoto zetu ni kushinda mashindano hayo," alisema Messi.
"Tunahitaji kunyakuwa kombe la Copa America kama Argentina inavyohitaji taji na tunalifanyia kazi hili."
YANGA YAKAMILISHA USAJILI WA MAPROO WAKE.
DAR ES SALAAM, Tanzania
KLABU ya Yanga leo imemaliza utata katika usajili wa wachezaji watano wa kigeni baada ya kutangaza majina ya wachezaji watakaoingia katika usajili rasmi wa klabu hiyo.
Majina ya wachezaji hao ni kama ifuatavyo:
1: Kenneth Asamoah
2: Haruna Niyonzima
3: Hamis Kiiza
4: Yew Berko
5: Davis Mwape
Wakati huo huo klabu hiyo ya Yanga imemtoa kwa mkopo mchezaji Idd Mbaga kwa klabu ya African Lyon inayoshiriki katika ligi kuu ya Tanzania.
KLABU ya Yanga leo imemaliza utata katika usajili wa wachezaji watano wa kigeni baada ya kutangaza majina ya wachezaji watakaoingia katika usajili rasmi wa klabu hiyo.
Majina ya wachezaji hao ni kama ifuatavyo:
1: Kenneth Asamoah
2: Haruna Niyonzima
3: Hamis Kiiza
4: Yew Berko
5: Davis Mwape
Wakati huo huo klabu hiyo ya Yanga imemtoa kwa mkopo mchezaji Idd Mbaga kwa klabu ya African Lyon inayoshiriki katika ligi kuu ya Tanzania.
NIKE YAINGLIA KATI SAKATA LA USAJILI WA SNEIJDER.
MILAN, Italia
SEKESEKE la usajili wa kiungo Wesley Sneijder kutoka Inter Milan kuelekea Manchester United limechukua sura mpya baada ya taarifa za kampuni kubwa mavazi ya Nike kuingilia kati juu ya kukamilisha kwa usajili huo unaotajwa kuwa wenye thamani ya £35.2million.
Kampuni hiyo kubwa ya kimarekani ambayo ndio mdhamini wa jezi za mabingwa wa England inasemekana wapo tayari kulipa kiasi cha pesa kilichopungua katika matakwa ya mshahara anaotaka Sneijder ili kuhakikisha uhamisho huo unafanikiwa.
Nike waliwahi kufanya kitu cha namna hii wakati mbrazili Ronaldo De Lima alipohama kutoka Barcelona kwenda Inter wakati mahasimu wao wa kibiashara Adidas, ambao wanaidhamini Real Madrid, walihusika kwa kiasi kikubwa katika kurahisha mambo kwenye usajili wa Cristiano Ronaldo na David Beckham kwenda Benebeu.
United wamekuwa wakijaribu kukamilisha dili la usajili wa Sneijder ndani ya wiki hii, huku CEO David Gill akikacha safari ya US ili aweze kupata muda wa kuongea na Inter Officials jijini Milan.
Taarifa zisizo rasmi zinasema kuwa United wapo tayari kulipa £35.2m wanayoitaka Inter lakini mazungumzo yamekwama katika matakwa binafsi ya mchezaji.Kambi ya mchezaji wanataka mshahara wa £200,000 kwa wiki huku Red Devils wakiwa tayari kulipa mshahara wa £170,000 per week.
SEKESEKE la usajili wa kiungo Wesley Sneijder kutoka Inter Milan kuelekea Manchester United limechukua sura mpya baada ya taarifa za kampuni kubwa mavazi ya Nike kuingilia kati juu ya kukamilisha kwa usajili huo unaotajwa kuwa wenye thamani ya £35.2million.
Kampuni hiyo kubwa ya kimarekani ambayo ndio mdhamini wa jezi za mabingwa wa England inasemekana wapo tayari kulipa kiasi cha pesa kilichopungua katika matakwa ya mshahara anaotaka Sneijder ili kuhakikisha uhamisho huo unafanikiwa.
Nike waliwahi kufanya kitu cha namna hii wakati mbrazili Ronaldo De Lima alipohama kutoka Barcelona kwenda Inter wakati mahasimu wao wa kibiashara Adidas, ambao wanaidhamini Real Madrid, walihusika kwa kiasi kikubwa katika kurahisha mambo kwenye usajili wa Cristiano Ronaldo na David Beckham kwenda Benebeu.
United wamekuwa wakijaribu kukamilisha dili la usajili wa Sneijder ndani ya wiki hii, huku CEO David Gill akikacha safari ya US ili aweze kupata muda wa kuongea na Inter Officials jijini Milan.
Taarifa zisizo rasmi zinasema kuwa United wapo tayari kulipa £35.2m wanayoitaka Inter lakini mazungumzo yamekwama katika matakwa binafsi ya mchezaji.Kambi ya mchezaji wanataka mshahara wa £200,000 kwa wiki huku Red Devils wakiwa tayari kulipa mshahara wa £170,000 per week.
CHUJI ATIMKIA VILLA SQUAD.
DAR ES SALAAM, Tanzania
MCHEZAJI wa zamani wa mabingwa wa Tanzania na CECAFA Kagame Cup Athumani Idd 'Chuji' leo ametangazwa rasmi kuwa mchezaji wa klabu ya Villa Squad ya Dar Es Salaam.
Chuji ambaye baada ya kutoka Yanga alirudi Simba na kuitumikia klabu hiyo katika michuano Kagame iliyomalizika last weekend amejiunga na Villa baada ya kukatwa katika usajili wa Simba,blog moja hapa jijini imepewa taarifa na msemaji wa timu hiyo bwana Idd Godgod.
Wakati huo huo Villa Squad leo wamethibitisha rasmi kuwa watatumia uwanja Chamazi wa Mbagala unaomilikiwa na matajiri wa ligi kuu klabu ya Azam kama uwanja wao wa nyumbani kwenye michezo ya ligi kuu ya vodacom msimu ujao .
MCHEZAJI wa zamani wa mabingwa wa Tanzania na CECAFA Kagame Cup Athumani Idd 'Chuji' leo ametangazwa rasmi kuwa mchezaji wa klabu ya Villa Squad ya Dar Es Salaam.
Chuji ambaye baada ya kutoka Yanga alirudi Simba na kuitumikia klabu hiyo katika michuano Kagame iliyomalizika last weekend amejiunga na Villa baada ya kukatwa katika usajili wa Simba,blog moja hapa jijini imepewa taarifa na msemaji wa timu hiyo bwana Idd Godgod.
Wakati huo huo Villa Squad leo wamethibitisha rasmi kuwa watatumia uwanja Chamazi wa Mbagala unaomilikiwa na matajiri wa ligi kuu klabu ya Azam kama uwanja wao wa nyumbani kwenye michezo ya ligi kuu ya vodacom msimu ujao .
JUVENTUS YAINGIA KATIKA MBIO ZA KUMUWANIA TEVEZ.
TURIN, Italia
KLABU ya Juventus nayo imeingia rasmi katika vita ya kutaka kumsaini Manchester City star Carlos Tevez baada ya kutuma ofa ya £45million, kwa mujibu kwa Corinthians.
City juzi walikataa ofa ya £35million kutoka kwa wakatoliki wa Brazil kwa ajili ya Carlos Tevez, lakini sasa ofa mpya iliyo mezani imeongezeka kwa £10million.
Ingawa raisi wa Corinthians Andres Sanchez amesisitiza kuwa hatoongeza ofa lakini anaamini kuwa Carlotos ana matamanio ya kurejea South America na kuwa karibu na familia yake, hivyo bado ana imani kuwa Tevez atachagua kujiunga na timu yake ya zamani.
Alisema: "Hakuna kilichobadilika, hajaamua kumuuza wala kuendelea kuwa nae.
"Wamepokea ofa ya £45m kutoka Juventus, lakini Tevez hataki kuendelea kubaki ulaya.
"Naendelea kuamini ofa niliyotuma ni nzuri, lakini inategemea na City wataamuaje.Kama ningekuwa raisi wa klabu anayochezea Tevez, basi nisingekubali kumuuza lakini kauli ya mchezaji ina uzito zaidi.Kama anataka kuondoka then ataondoka tu kwa njia yoyote.Katika soka mikataba imewekwa ili kuvunjwa."
KLABU ya Juventus nayo imeingia rasmi katika vita ya kutaka kumsaini Manchester City star Carlos Tevez baada ya kutuma ofa ya £45million, kwa mujibu kwa Corinthians.
City juzi walikataa ofa ya £35million kutoka kwa wakatoliki wa Brazil kwa ajili ya Carlos Tevez, lakini sasa ofa mpya iliyo mezani imeongezeka kwa £10million.
Ingawa raisi wa Corinthians Andres Sanchez amesisitiza kuwa hatoongeza ofa lakini anaamini kuwa Carlotos ana matamanio ya kurejea South America na kuwa karibu na familia yake, hivyo bado ana imani kuwa Tevez atachagua kujiunga na timu yake ya zamani.
Alisema: "Hakuna kilichobadilika, hajaamua kumuuza wala kuendelea kuwa nae.
"Wamepokea ofa ya £45m kutoka Juventus, lakini Tevez hataki kuendelea kubaki ulaya.
"Naendelea kuamini ofa niliyotuma ni nzuri, lakini inategemea na City wataamuaje.Kama ningekuwa raisi wa klabu anayochezea Tevez, basi nisingekubali kumuuza lakini kauli ya mchezaji ina uzito zaidi.Kama anataka kuondoka then ataondoka tu kwa njia yoyote.Katika soka mikataba imewekwa ili kuvunjwa."
ARSENAL ON TOUR FAR EAST.
Wednesday, July 13, 2011
RATIBA YA ALL AFRICA GAME HADHARANI.
CAIRO, Misri
TIMU ya Taifa ya wanawake ya mpira wa miguu (Twiga Stars) imepangwa kundi B
katika Michezo ya Afrika (All Africa Games). Michezo hiyo ya Kumi itafanyika
kuanzia Septemba 3-18 mwaka huu jijini Maputo, Msumbiji.
Upangaji makundi kwa ajili ya michezo hiyo kwa upande wa wanawake na wanaume
ulifanywa jana na Katibu Mkuu wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF),
Hicham El Amran.
Rais wa CAF, Issa Hayatou pia alishuhudia upangaji huo wa makundi uliofanyika
makao makuu ya shirikisho hilo jijini Cairo, Misri wakiwemo pia wawakilishi wa
timu zilizofuzu kwa ajili ya michezo hiyo.
Twiga Stars imepangwa pamoja na timu za Afrika Kusini, Zimbabwe na Ghana. Kundi
A lina wenyeji Msumbiji, Cameroon, Algeria na Guinea. Mabingwa wa mwaka 2007
Nigeria wameshindwa kufuzu kwa ajili ya michuano ya mwaka huu.
Wiki iliyopita Twiga Stars ilikuwa Harare, Zimbabwe kwenye mashindano ya Baraza
la Vyama vya Mpira wa Miguu Kusini mwa Afrika (COSAFA). Ilishika nafasi ya tatu
ambapo ilicheza na Zimbabwe na Afrika Kusini. Zimbabwe ‘Mighty Warriors’ ndiyo
walioibuka mabingwa wakati Afrika Kusini ‘Banyana Banyana’ ilikuwa makamu
bingwa.
Twiga Stars inayofundishwa na Charles Mkwasa akisaidiwa na Nasra Mohamed
inatarajia kuingia kambini mwezi mmoja kabla ya kuanza michuano hiyo
inayoshirikisha timu nane.
Kwa upande wa wanaume kundi A lina wenyeji Msumbiji, Afrika Kusini, Libya na
Madagascar wakati kundi B ni Cameroon, Uganda, Ghana na Senegal.
TIMU ya Taifa ya wanawake ya mpira wa miguu (Twiga Stars) imepangwa kundi B
katika Michezo ya Afrika (All Africa Games). Michezo hiyo ya Kumi itafanyika
kuanzia Septemba 3-18 mwaka huu jijini Maputo, Msumbiji.
Upangaji makundi kwa ajili ya michezo hiyo kwa upande wa wanawake na wanaume
ulifanywa jana na Katibu Mkuu wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF),
Hicham El Amran.
Rais wa CAF, Issa Hayatou pia alishuhudia upangaji huo wa makundi uliofanyika
makao makuu ya shirikisho hilo jijini Cairo, Misri wakiwemo pia wawakilishi wa
timu zilizofuzu kwa ajili ya michezo hiyo.
Twiga Stars imepangwa pamoja na timu za Afrika Kusini, Zimbabwe na Ghana. Kundi
A lina wenyeji Msumbiji, Cameroon, Algeria na Guinea. Mabingwa wa mwaka 2007
Nigeria wameshindwa kufuzu kwa ajili ya michuano ya mwaka huu.
Wiki iliyopita Twiga Stars ilikuwa Harare, Zimbabwe kwenye mashindano ya Baraza
la Vyama vya Mpira wa Miguu Kusini mwa Afrika (COSAFA). Ilishika nafasi ya tatu
ambapo ilicheza na Zimbabwe na Afrika Kusini. Zimbabwe ‘Mighty Warriors’ ndiyo
walioibuka mabingwa wakati Afrika Kusini ‘Banyana Banyana’ ilikuwa makamu
bingwa.
Twiga Stars inayofundishwa na Charles Mkwasa akisaidiwa na Nasra Mohamed
inatarajia kuingia kambini mwezi mmoja kabla ya kuanza michuano hiyo
inayoshirikisha timu nane.
Kwa upande wa wanaume kundi A lina wenyeji Msumbiji, Afrika Kusini, Libya na
Madagascar wakati kundi B ni Cameroon, Uganda, Ghana na Senegal.
MICHUANO YA KAGAME YAINGIZA ZAIDI YA BILIONI MOJA.
DAR ES SALAAM, Tanzania
MICHUANO ya kuwania Kombe la Kagame iliyofanyika nchini kuanzia Juni 25 hadi
Julai 10 mwaka huu imekwenda vizuri huku timu za Tanzania, Yanga na Simba
zikifanya vizuri kwa kufika hatua ya fainali. TFF tunazipongeza timu hizo kwa
uwakilishi mzuri ziliotupa, hasa Yanga kwa kuibuka mabingwa.
Shukrani za pekee tunatoa kwa mashabiki waliojitokeza kushuhudia mechi za
michuano hiyo zilizofanyika katika Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam na Uwanja wa
Jamhuri mjini Morogoro. Mahudhurio ya washabiki katika mechi zote yaliingiza
jumla ya sh. bilioni 1.073. Fedha hizo zimetuwezesha kulipia gharama zote za
mashindano.
Pia tunatoa shukrani kwa wadau wengine waliowezesha mashindano hayo kufanikiwa
wakiwemo wadhamini, hoteli, kampuni za usafiri, ulinzi, Uwanja wa Ndege wa
Kimataifa wa Julius Nyerere, waandishi wa habari Chuo Kikuu cha Dar es Salaam
(UDSM) na klabu ya TCC Chang’ombe kwa kutoa viwanja vya mazoezi na Serikali kwa
kutoa Uwanja wa Taifa.
Hoteli hizo ni Safina, Landmark, Lunch Time, Marriot, Paradise City, Valentino,
Spice Inn, Blue Pearl, Akubu na Jangwani Plaza za Dar es Salaam. Oasis, Top Life
na Kingston za Morogoro.,
Licha ya mafanikio hayo, tunawaomba radhi mashabiki kutokana na kukatika umeme
kwenye Uwanja wa Taifa baada ya mechi ya fainali kati ya Yanga na Simba. Tukio
hilo lilitokea wakati wa kukabidhi zawadi kwa timu mbalimbali zilizofanya vizuri
katika mashindano hayo.
MICHUANO ya kuwania Kombe la Kagame iliyofanyika nchini kuanzia Juni 25 hadi
Julai 10 mwaka huu imekwenda vizuri huku timu za Tanzania, Yanga na Simba
zikifanya vizuri kwa kufika hatua ya fainali. TFF tunazipongeza timu hizo kwa
uwakilishi mzuri ziliotupa, hasa Yanga kwa kuibuka mabingwa.
Shukrani za pekee tunatoa kwa mashabiki waliojitokeza kushuhudia mechi za
michuano hiyo zilizofanyika katika Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam na Uwanja wa
Jamhuri mjini Morogoro. Mahudhurio ya washabiki katika mechi zote yaliingiza
jumla ya sh. bilioni 1.073. Fedha hizo zimetuwezesha kulipia gharama zote za
mashindano.
Pia tunatoa shukrani kwa wadau wengine waliowezesha mashindano hayo kufanikiwa
wakiwemo wadhamini, hoteli, kampuni za usafiri, ulinzi, Uwanja wa Ndege wa
Kimataifa wa Julius Nyerere, waandishi wa habari Chuo Kikuu cha Dar es Salaam
(UDSM) na klabu ya TCC Chang’ombe kwa kutoa viwanja vya mazoezi na Serikali kwa
kutoa Uwanja wa Taifa.
Hoteli hizo ni Safina, Landmark, Lunch Time, Marriot, Paradise City, Valentino,
Spice Inn, Blue Pearl, Akubu na Jangwani Plaza za Dar es Salaam. Oasis, Top Life
na Kingston za Morogoro.,
Licha ya mafanikio hayo, tunawaomba radhi mashabiki kutokana na kukatika umeme
kwenye Uwanja wa Taifa baada ya mechi ya fainali kati ya Yanga na Simba. Tukio
hilo lilitokea wakati wa kukabidhi zawadi kwa timu mbalimbali zilizofanya vizuri
katika mashindano hayo.
JAMHURI KIHWELO "JULIO' ATANGAZA SILAHA ZAKE ZA MAANGAMIZI.
DAR ES SALAAM, Tanzania
KOCHA Mkuu wa timu ya Taifa kwa vijana wenye umri chini ya miaka 23, Jamhuri
Kihwelo ametangaza orodha ya wachezaji 21 kwa ajili ya mechi za kirafiki dhidi
ya timu ya taifa ya Shelisheli.
Mechi hizo mbili zitachezwa Julai 27 na 30 mwaka huu kwenye Uwanja wa Kumbukumbu
ya Sheikh Amri Abeid Kaluta jijini Arusha.
Wachezaji hao ni Juma Abdul (Mtibwa Sugar), Himid Mao (Azam), Babu Ally
(Morani), Shabani Kado (Yanga), Salum Abubakar (Azam), Godfrey Wambura (Simba),
Jabir Aziz (Azam), Seif Juma (Ilala), Khamis Mcha (Azam), Shomari Kapombe
(Simba), Jackson Wandwi (Azam).
Wengine ni Issa Rashid (Mtibwa Sugar), Thomas Ulimwengu (Humbarg SV, Ujerumani),
Hussein Javu (Mtibwa Sugar), Mohamed Soud (Toto Africans), Jamal Mnyate (Azam),
Awadh Juma (Moro United), Salum Kanoni (Simba), Salum Telela (Yanga), Samuel
Ngasa (African Lyon) na George Mtemahanji (Modeva FC, Italia).
KOCHA Mkuu wa timu ya Taifa kwa vijana wenye umri chini ya miaka 23, Jamhuri
Kihwelo ametangaza orodha ya wachezaji 21 kwa ajili ya mechi za kirafiki dhidi
ya timu ya taifa ya Shelisheli.
Mechi hizo mbili zitachezwa Julai 27 na 30 mwaka huu kwenye Uwanja wa Kumbukumbu
ya Sheikh Amri Abeid Kaluta jijini Arusha.
Wachezaji hao ni Juma Abdul (Mtibwa Sugar), Himid Mao (Azam), Babu Ally
(Morani), Shabani Kado (Yanga), Salum Abubakar (Azam), Godfrey Wambura (Simba),
Jabir Aziz (Azam), Seif Juma (Ilala), Khamis Mcha (Azam), Shomari Kapombe
(Simba), Jackson Wandwi (Azam).
Wengine ni Issa Rashid (Mtibwa Sugar), Thomas Ulimwengu (Humbarg SV, Ujerumani),
Hussein Javu (Mtibwa Sugar), Mohamed Soud (Toto Africans), Jamal Mnyate (Azam),
Awadh Juma (Moro United), Salum Kanoni (Simba), Salum Telela (Yanga), Samuel
Ngasa (African Lyon) na George Mtemahanji (Modeva FC, Italia).
DIRISHA LA USAJILI KUFUNGWA JULAI 15.
DAR ES SALAAM, Tanzania
KIPINDI cha uhamisho wa wachezaji kwa msimu wa mwaka 2011/2012 kinamalizika
Julai 15 mwaka huu wakati mwisho wa usajili ni Julai 20 mwaka huu.
Kwa upande wa klabu za Ligi Kuu, usajili wao unaanzia kwa timu za pili (U20),
hivyo kwanza zinatakiwa kukabidhi usajili wa timu hizo na baadaye za timu zao za
kwanza (senior). Klabu zote za Ligi Kuu tayari zina passwords zao kwa ajili ya
kufanya usajili wa wachezaji wa kigeni.
Dirisha dogo la usajili litafunguliwa tena Novemba 1 hadi 30 mwaka huu.
Tunazikumbusha timu zote za Ligi Kuu kuwasilisha majina ya viwanja ambavyo
zitatumia kwa ajili ya ligi hiyo ambayo itaanza Agosti 20 mwaka huu.
Klabu ambazo zimewasilisha maombi ya viwanja ambavyo zitatumia ni Mtibwa Sugar
(Manungu), Azam (Chamazi), Ruvu Shooting Stars (Mlandizi), Coastal Union
(Mkwakwani), Toto Africans (CCM Kirumba), Oljoro JKT (Kumbukumbu ya Sheikh Amri
Abeid Kaluta), Polisi Tanzania (Jamhuri, Dodoma) na Kagera Sugar (Kaitaba).
Klabu ambazo bado hazijawasilisha viwanja vyao ni Yanga, Simba, Moro United,
Villa Squad, JKT Ruvu na African Lyon. Timu hizo zinatakiwa kutuma majina ya
viwanja vyao haraka, kwani kabla ya kuruhusiwa kutumika ni lazima vithibitishwe
na Kurugenzi ya Ufundi ya TFF.
KIPINDI cha uhamisho wa wachezaji kwa msimu wa mwaka 2011/2012 kinamalizika
Julai 15 mwaka huu wakati mwisho wa usajili ni Julai 20 mwaka huu.
Kwa upande wa klabu za Ligi Kuu, usajili wao unaanzia kwa timu za pili (U20),
hivyo kwanza zinatakiwa kukabidhi usajili wa timu hizo na baadaye za timu zao za
kwanza (senior). Klabu zote za Ligi Kuu tayari zina passwords zao kwa ajili ya
kufanya usajili wa wachezaji wa kigeni.
Dirisha dogo la usajili litafunguliwa tena Novemba 1 hadi 30 mwaka huu.
Tunazikumbusha timu zote za Ligi Kuu kuwasilisha majina ya viwanja ambavyo
zitatumia kwa ajili ya ligi hiyo ambayo itaanza Agosti 20 mwaka huu.
Klabu ambazo zimewasilisha maombi ya viwanja ambavyo zitatumia ni Mtibwa Sugar
(Manungu), Azam (Chamazi), Ruvu Shooting Stars (Mlandizi), Coastal Union
(Mkwakwani), Toto Africans (CCM Kirumba), Oljoro JKT (Kumbukumbu ya Sheikh Amri
Abeid Kaluta), Polisi Tanzania (Jamhuri, Dodoma) na Kagera Sugar (Kaitaba).
Klabu ambazo bado hazijawasilisha viwanja vyao ni Yanga, Simba, Moro United,
Villa Squad, JKT Ruvu na African Lyon. Timu hizo zinatakiwa kutuma majina ya
viwanja vyao haraka, kwani kabla ya kuruhusiwa kutumika ni lazima vithibitishwe
na Kurugenzi ya Ufundi ya TFF.
FOOTBALLERS ON TWITTER TODAY.
"Today we will know who will be our opponent in the quarter-finals, but it does not matter to me, what is important is what we do! LET’S GO ARGENTINA" (http://twitter.com/pablo_zabaleta)
Argentina’s Pablo Zabaleta has full trust in his side’s chances despite being in the dark about their next opponent.
"Just watched The Departed #Whatafilm"
Liverpool defender Glen Johnson was in awe of Martin Scorsese’s film. (http://twitter.com/glen_johnson)
"Life is too good man, will be missing my girl soon thou #8days"
Middlesbrough’s Richard Smallwood is not all too happy with his club’s upcoming pre-season training camp. (http://twitter.com/richsmallwood33)
"It is sooooo humid here in Boston, how do you lot #stayonyourfeet out here in this?!"
Manchester United’s Rio Ferdinand is finding it hard to cope with the weather in the United States. (http://twitter.com/rioferdy5)
"Rooting for my friend Sandro to recovers and plays again as quickly as possible"
Brazil’s Robinho was gutted to see team-mate Sandro leave the squad with a knee injury and wished him a speedy recovery. (http://twitter.com/robinhoooficial)
Argentina’s Pablo Zabaleta has full trust in his side’s chances despite being in the dark about their next opponent.
"Just watched The Departed #Whatafilm"
Liverpool defender Glen Johnson was in awe of Martin Scorsese’s film. (http://twitter.com/glen_johnson)
"Life is too good man, will be missing my girl soon thou #8days"
Middlesbrough’s Richard Smallwood is not all too happy with his club’s upcoming pre-season training camp. (http://twitter.com/richsmallwood33)
"It is sooooo humid here in Boston, how do you lot #stayonyourfeet out here in this?!"
Manchester United’s Rio Ferdinand is finding it hard to cope with the weather in the United States. (http://twitter.com/rioferdy5)
"Rooting for my friend Sandro to recovers and plays again as quickly as possible"
Brazil’s Robinho was gutted to see team-mate Sandro leave the squad with a knee injury and wished him a speedy recovery. (http://twitter.com/robinhoooficial)
Tuesday, July 12, 2011
Monday, July 11, 2011
ARSENAL YAKAMILISHA USAJILI WA GERVINHO.
KUALA LUMPA, Malaysia
KLABU ya Arsenal tayari imekamilisha uhamisho wa mshambuliaji wa kimataifa wa Ivory Coast aliyekuwa akichezea klabu Lille ya Ufaransa Gervihno.
Mchezaji huyo ambaye alifunga mabao 15 na kutoa pasi zilizozaa mabao 10 na kuisadia Lille kutwaa taji la kwanza katika kipindi cha miaka 57 msimu uliopita, ametua Emirates kwa ada ya paundi milioni 12 ingawa hata mkataba wake haujawekwa wazi.
Wenger alithibitisha habari hizo kuhusu Gervinho wakati timu yake ilipowasili Malaysia, bila kuwa na mashambuliaji wake huyo mpya katika ziara yao ya mashariki ya mbali kabla ya kuanza kwa msimu mpya wa ligi.
Wenger alisema kuwa mchezaji huyo alisaini mkataba baada ya kutoka katika likizo yake na tayari ameshafanyiwa vipimo vya afya Alhamisi na kuruhusiwa kwenda nyumbani kuweka mambo sawa na familia yake.
KLABU ya Arsenal tayari imekamilisha uhamisho wa mshambuliaji wa kimataifa wa Ivory Coast aliyekuwa akichezea klabu Lille ya Ufaransa Gervihno.
Mchezaji huyo ambaye alifunga mabao 15 na kutoa pasi zilizozaa mabao 10 na kuisadia Lille kutwaa taji la kwanza katika kipindi cha miaka 57 msimu uliopita, ametua Emirates kwa ada ya paundi milioni 12 ingawa hata mkataba wake haujawekwa wazi.
Wenger alithibitisha habari hizo kuhusu Gervinho wakati timu yake ilipowasili Malaysia, bila kuwa na mashambuliaji wake huyo mpya katika ziara yao ya mashariki ya mbali kabla ya kuanza kwa msimu mpya wa ligi.
Wenger alisema kuwa mchezaji huyo alisaini mkataba baada ya kutoka katika likizo yake na tayari ameshafanyiwa vipimo vya afya Alhamisi na kuruhusiwa kwenda nyumbani kuweka mambo sawa na familia yake.
TIMU YA MEXICO UNDER 17 YANYAKUWA KOMBE LA DUNIA.
MEXICO CITY, Mexico
WENYEJI Mexico jana walitawadhwa mabingwa wapya wa Kombe la Dunia la Vijana chini ya Umri wa Miaka 17 baada ya kuifunga Uruguay mabao 2-0 katika mchezo wa fainali ulifanyika Mexico City.
Mexico walipata bao la kuongoza dakika ya 31 kupitia kwa mshambuliaji wake Antonio Briseno na Giovan Casillas alipigilia msumari wa mwisho dakika za majeruhi na kuihakikishia timu yake ushindi.
Mafanikio hayo ni ya pili kwa timu hiyo ya Mexico chini ya miaka 17 kutwaa ubingwa yakifuatiwa na yale ya mwaka 2005 nchini Peru.
Mexico pia walishinda michuano ya Gold Cup kwa wakubwa na kuendeleza kipindi cha mafanikio katika soka katika taifa lililopo Kaskazini mwa Amerika.
WENYEJI Mexico jana walitawadhwa mabingwa wapya wa Kombe la Dunia la Vijana chini ya Umri wa Miaka 17 baada ya kuifunga Uruguay mabao 2-0 katika mchezo wa fainali ulifanyika Mexico City.
Mexico walipata bao la kuongoza dakika ya 31 kupitia kwa mshambuliaji wake Antonio Briseno na Giovan Casillas alipigilia msumari wa mwisho dakika za majeruhi na kuihakikishia timu yake ushindi.
Mafanikio hayo ni ya pili kwa timu hiyo ya Mexico chini ya miaka 17 kutwaa ubingwa yakifuatiwa na yale ya mwaka 2005 nchini Peru.
Mexico pia walishinda michuano ya Gold Cup kwa wakubwa na kuendeleza kipindi cha mafanikio katika soka katika taifa lililopo Kaskazini mwa Amerika.
Sunday, July 10, 2011
YANGA MABINGWA WAPYA KOMBE LA KAGAME.
![]() |
Kikosi kamili cha Yanga kilichoisambaratisha Simba kwa bao 1-0 katika mchezo wa fainali ya mchezo wa Kombe Kagame uliofanyika Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. |
![]() |
Wachezaji wa wakinyanyua juu kombe lao la ushindi. |
![]() |
Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Emmanuel Nchimbi akimkabidhi Nahodha wa Yanga Shadrack Nsajigwa kitita cha Dola 30,000 kama zawadi kwa washindi. |
![]() |
Skrini kubwa ya uwanjani ikionyesha matokeo yalivyokuwa. |
![]() |
Mashabiki wa Yanga waliojitokeza uwanjani. |
![]() |
Mashabiki wa Simba wakiwa hawaamini kilichotokea mara baada ya timu yao ,kufungwa bao katika dakika za nyongeza. |
MANO MENEZES: "PARAGUAY HAS DONE LITTLE TO BEAT US"
![]() |
Kocha wa Brazil Mano Menezes. |
CORDOBA, Argentina
The Brazilian coach, Mano Menezes, said it was "cruel" a defeat against Paraguay, because the team "did little" to beat Brazil, that suffered after the draw obtained by Brazil, 2-2, on Saturday, in Cordoba (center), for the second round of Group B of the Copa America.
About his savior goal, the only striker Fred said that was "happy".
"We had a game with a lot of pressure to win, we made some mistakes and we almost lost", he added.
For Mano, Brazil "played better" than against Venezuela, when they drew goalless. For the next game, against Ecuador, on next Wednesday, in Cordoba, Mano "expect a better game."
With a change in the team - the input of Jadson in place of Robinho - Mano explained that since the last game, Brazil needed to strengthen the midfield to complement the work of Paulo Henrique Ganso.
"It was a tactical change in the safest because it offered more space", Mano said, without explaining if this formation will continue into the third round.
For the Brazilian goalkeeper Julio Cesar, the suffered 2-2 draw achieved by Brazil, on Saturday, "ended up being a wonderful result."
"The way we ran the game and the only goal in the end, the tie ended up being a wonderful result", said the champion of the World Cup Club by Internazionale.
The winger Daniel Alves admitted that was his mistake the second Paraguayan goal, scored by Nelson Haedo Valdez.
"It was a clear mistake that I made", said the Barcelona player. Paraguay, however, "got its first goal when Brazil was at its best", added Dani Alves.
Friday, July 8, 2011
YANGA HIYOOOOOOO FAINALI.
![]() |
Kikosi kamili cha Yanga ambacho hii leo kimeisambaratisha St George. |
TIMU ya soka ya Yanga imefanikiwa kutinga katika hatua ya fainali ya michuano ya Kombe la Kagame baada ya kufanikiwa kuifunga timu ya St George kwa changamoto ya mikwaju ya penati 5-4 mara baada ya kutoka suluhu katika dakika 120 walizocheza katika Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
Thursday, July 7, 2011
FOOTBALLERS ON TWITTER TODAY.
"We are aware that this team have a lot more footballing potential to show"
Argentina's Pablo Zabaleta is not too happy with his side's performances at Copa America and believes that the team can fare a lot better. (http://twitter.com/pablo_zabaleta)
"i am now officially a LIVERPOOL FC player... thanks for all the support over last few months...charlie"
Charlie Adam spoke for the first time as a Liverpool player after joining the Reds from Blackpool. (http://twitter.com/Charlie26Adam)
"Yellow song in @coldplay concert in Bilbao brilliant http://img.ly/5Y7y"
Real Madrid's Xabi Alonso did not pass up the opportunity to watch the British band live. ("http://twitter.com/XabiAlonso")
"Being involved in a WC there is nothing better but celebrating promotion is special2. Everyplayer want2 b at the best level.I will choose WC"
Everton striker Louis Saha says that taking part in a World Cup is the highest point in a footballer's career. (http://twitter.com/louissaha08)
"Mad running never cant feel my lower body jheeeezzzz lets get season started already pre season is mad xx"
Manchester United academy player John Cofie is finding it hard to catch his breath (http://twitter.com/JohnCofie9)
Argentina's Pablo Zabaleta is not too happy with his side's performances at Copa America and believes that the team can fare a lot better. (http://twitter.com/pablo_zabaleta)
"i am now officially a LIVERPOOL FC player... thanks for all the support over last few months...charlie"
Charlie Adam spoke for the first time as a Liverpool player after joining the Reds from Blackpool. (http://twitter.com/Charlie26Adam)
"Yellow song in @coldplay concert in Bilbao brilliant http://img.ly/5Y7y"
Real Madrid's Xabi Alonso did not pass up the opportunity to watch the British band live. ("http://twitter.com/XabiAlonso")
"Being involved in a WC there is nothing better but celebrating promotion is special2. Everyplayer want2 b at the best level.I will choose WC"
Everton striker Louis Saha says that taking part in a World Cup is the highest point in a footballer's career. (http://twitter.com/louissaha08)
"Mad running never cant feel my lower body jheeeezzzz lets get season started already pre season is mad xx"
Manchester United academy player John Cofie is finding it hard to catch his breath (http://twitter.com/JohnCofie9)
TARATIBU NA SHERIA ZA UPIGAJI WA PENALTI.
PENALTY SHOOT-OUT
"Penalty shoot out" ni mipigo ya mpira kutoka kwenye alama maalum iliyowekwa katika "Penalty Box" ya uwanja wa mpira wa miguu.
Hii ni njia inayotumika katika sheria za mchezo wa soka zinazotumika kuamua ni timu gani isonge mbele kwenda hatua inayofuata katika michuano au kushinda michuano.
Mipigo hii ya penati inasimamiwa na sheria na kanuni ambazo zimewekwa na FIFA.
TARATIBU ZA KUPIGA PENATI
*Timu ya kwanza kupiga mkwaju wa kwanza kuamuliwa kwa kurushwa shilingi na rafa ataamua ni goli lipi litumike kwa kupigia penati.
*Mikwaju yote ya penati itapigwa katika goli moja ili kuhakikisha wapigaji wa penati na magolikipa wote wanakutana na hali yoyote isiyokuwa ya kawaida (kama ikiwepo).
*Wachezaji wote isipokuwa mpigaji na magolikipa wanapaswa kubakia katikati ya uwanja.
*Mipigo yote inatakiwa kupigwa kutokea katika alama ya kupigia penati, huku golini kukiwa na golikipa wa timu tofauti na mpigaji.Kipa anatakiwa kubaki katikati ya milingoti miwili huku akiwa amesimama katika mstari wa goli mpaka pale mpira utakapokuwa umepigwa, ingawa anaweza kurukaruka, kunyoosha mikono, kwenda upande mmoja mpaka mwingine akiwa ndani ya mstari wa goli.
*Kila mpigaji anaweza kupiga mpira mara moja tu, ikiwa mpira aliopiga utazuiwa na golikipa, ukigonga mwamba mpigaji haruhusiwi kuupiga tena (lakini hii ni tofauti ni penati za ndani dk 90).
*Hakuna mchezaji wa timu ya mpigaji anaruhusiwa kuugusa mpira.
*Mpira unaweza kumgusa golikipa, milingoti ya pembeni na wa juu kwa idadi yoyote.
Hali kama hii iliwahi kutokea katika mechi ya fainali za kombe la dunia mwaka 1986-Mexico katika mechi ya Brazil vs France, mechi ambayo iliamuliwa kwa mikwaju ya penati.Wakati wa kupiga penati mchezaji wa Ufaransa Bruno Bellone alipiga mkwaju ambao uligonga mwamba na kurudi uwanjani kisha ukarudi na kuingia golini.Mwamuzi Loan Igna akaamuru kuwa ni goli na nahodha wa Brazil Edinho alipopinga kuwa mpira ulipogonga mwamba na kurudi uwanjani ilitakiwa iamuriwe kuwa tayari France wamekosa akapewa kadi, lakini mwaka 1987 International Football Association Board walithibitisha kuwa kupitia sheria namba 14 inayohusu upigaji wa penalty kuwa maamuzi ya refa yalikuwa sahihi.
*Ikiwa baada ya mipigo mitano kukamilika na timu zote zikalingana kwa idadi ya magoli, basi zitaanzwa kupigwa penati moja moja kwa kila timu mpaka timu moja itakapofunga na nyingine ikakosa.
*Wachezaji 22 pekee waliokuwepo ndani ya mchezo mpaka ulipomalizika ndio wanaruhusiwa kushiriki katika kupiga penati.
*Timu inaweza kumbadilisha golikipa ambaye atakuwa ameumia kipindi cha upigaji wa penati, ikiwa timu husika itakuwa haijamaliza idadi ya wachezaji wanaopaswa kubadilishwa.
*Ikiwa golikipa atapewa kadi nyekundu, mchezaji mwingine aliyekuwepo ndani uwanja kabla ya mpira kumalizika atachukua jukumu la kukaa golini.
*Ikiwa mchezaji mwingine isipokuwa golikipa akiumia au kupewa kadi nyekundu, mikwaju ya penati itaendelea bila kuwepo na mabadiliko yoyote.
*Mchezaji yoyote anaweza kuchukua majukumu ya golikipa aliyetolewa kwa kuumia au kwa kadi, na sio lazima mchezaji yuleyule adake mipigo yote anaweza akabadilishwa.
*Hakuna mchezaji anayeruhusiwa kupiga penati mara mbili kupigia mpaka pale mzungumko wa wachezaji wote wa timu husika watakapokuwa wamemaliza kupiga mpigo wa kwanza, akiwemo golikipa.
*Ikiwa itatokea hali ya ulazima kwa wachezaji kupiga penati kwa mara ya pili (kwa sababu kumekuwa na usawa wa matokeo mara ambapo wachezaji wote halali watakapokuwa wamemaliza mipigo yao ya kwanza) timu hazina ulazima wa kurudia wachezaji wale wale waliowatumia katika penati za 5 za kwanza.
*Ikiwa katika mwanzo wa upigaji penati timu moja itakuwa na wachezaji wengi uwanjani tofauti na nyingine, basi timu ambayo imebakiwa na wachezaji wengi uwanjani itabidi ichague mchezaji au wachezaji ambao watakuwa na idadi sawa na wapinzani wao.Mfano, ikiwa timu Team A itakuwa na wachezaji 11 lakini Team B ina wachezaji 10, basi Team A itabidi imchague mchezaji mmoja ambaye hatahusika kabisa na zoezi la upigaji penati hivyo golikipa hawezi kuchaguliwa kuondolewa katika listi ya wachezaji kumi wataohusika na kupiga penati huku akiendelea kudaka.Hatua inahusika ikiwa tu wachezaji/mchezaji alitolewa nje kwa kuumia au kwa kadi ndani ya dakika za kawaida za mchezo na sio ndani ya kipindi cha upigaji penati.
Stori kwa hisani ya Blog ya Shaffih Dauda
Tuesday, July 5, 2011
SIMBA, EL MEREIKH ZAPENYA NUSU FAINALI KAGAME CUP.
![]() |
Mchezaji Haruna Moshi "Boban" akijaribu kumtoka mchezaji wa Bunamwaya. |
![]() |
Maelfu ya mashabiki wa Simba wakifuatilia mchezo wa timu yao ilipokuwa inacheza. |
KENYAN league champions Ulinzi have been knocked out of the Cecafa Kagame Cup after losing 9-8 on penalties to El Mereikh of Sudan in a dramatic quarter-final clash played in Dar es Salaam, Tanzania.
Following a 1-1 draw in normal time, the teams battled through a tense series of spot-kicks before the Sudanese champions eventually emerged as winners.
Defender Hussein Mohammed saw his spot-kick saved by Egyptian international keeper Essam El Hadary, who eventually netted the decisive penalty, which took his team through to the last four.
Hadary scored two penalties and saved three while Ulinzi's keeper scored one and saved two. One player from each team sent the other two spot-kicks skywards.
Jonas Sakuwana had given El Mereikh the lead three minutes from time, but George Otieno headed a Stepeh Waruru cross into the goal to send the game straight to penalties.
In the second quarter-final match, also played at the National Stadium, Tanzanian giants Simba deservedly edged out Bunamwaya 2-1 to advance to the semi-finals.
Buoyed by thousands of home fans, the Msimbazi club went for the jugular and bombarded the Ugandans' goal area. But superb goalkeeping heroics by the Bunamwaya keeper kept the scoreline respectable, especially following a second-half onslaught from the Tanzanian side.
The other two quarter-final matches will be played tomorrow.
Subscribe to:
Posts (Atom)