KLABU ya AC Milan imeshakamilisha uhamisho wa Robinho kutoka Manchester City kwa mkataba wa miaka minne, ilisema taarifa ya klabu kupitia mtandao wake.
"AC Milan walifanya mazungumzo kumhusu mchezaji huyo wa kimataifa wa Brazil, juu ya uwezekano wake wa kuhama City. Mbrazili huyo alitia saini katika klabu maarufu kama Rossoneri kwa miaka mnne" ilisomeka taarifa hiyo.
Mchezaji huyo alifaulu vipimo vya afya na klabu italipa erou milioni 18 kupata huduma yake, ingawa kiasi cha uhamisho huo kilikuwa hakijafungwa wakati taarifa hii inatoka.
Robinho hakuwa na nafasi katika kikosi cha City msimu uliopita, ndio maana alikubali kwenda kucheza kwa mkopo nyumbani kwao Brazil katika klabu ya Santos.
Sky Sport ilimnukuu mchezaji huyo akisema "Mimi sasa ni mchezaji wa Milan," akiwathibitishia wakazi wa San Siro.
Robinho atajiunga na wachezaji wenzake Ronaldinho, Zlatan Ibrahimovic na Alexandre Pato kuunda safu ya ushambuliaji itakayotisha msimu huu.
Tuesday, August 31, 2010
SIMBA KUKIPIGA NA ULINZI TAIFA.
TIMU ya soka ya Simba inatarajiwa kucheza mchezo wa kirafiki wa kimataifa dhidi ya timu ya Ulinzi kutoka Kenya, Septemba 4 katika Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
Akizungumza Dar es Salaam jana, Mwenyekiti wa klabu hiyo Ismail Rage alisema mchezo huo utakuwa ni kipimo cha mandalizi ya mashindano ya kimataifa klabu bingwa Afrika itakayochezwa baadae.
Alisema taarifa nyingine kuhusu viingilio pamoja na lini timu ya Ulinzi itawasili itatolewa baadae na vyombo vya habari ambapo timu inatarajiwa pia kujipima ubavu kwa kucheza na timu ya Yanga.
Alisema pia kikosi cha Simba kinatarajiwa kuondoka kuondoka Septemba 5 kuelekea katika kituo chake kipya cha Mwanza ambapo ndipo itakapokuwa ikicheza michezo yake ya nyumbani ikitumia Uwanja wa CCM, Kirumba.
Wakati huohuo Rage alisema klabu hiyo bado inaona vilabu vya Ligi Kuu Tanzania Bara vinaonewa kwa kukatwa kodi ya ongezeko la thamani (VAT) na Mamlaka ya Mapato (TRA).
Alisema kwa mujibu wa sheria za makato ya kodi inasema kwamba anayepaswa kulipa VAT ni yule ambaye amesajiliwa na TRA na si vinginevyo.
Alisema akifafanua kuwa uongozi wa klabu hiyo umechunguza suala hilo kwa kina na kuona kwamba vilabu vyote vya Ligi Kuu havijasajiliwa na TRA zaidi ya Shikisho la Soka nchini (TFF) wenyewe ambao ndio wamesajiliwa hivyo haoni mantiki ya wao kukatwa kodi.
Akizungumza Dar es Salaam jana, Mwenyekiti wa klabu hiyo Ismail Rage alisema mchezo huo utakuwa ni kipimo cha mandalizi ya mashindano ya kimataifa klabu bingwa Afrika itakayochezwa baadae.
Alisema taarifa nyingine kuhusu viingilio pamoja na lini timu ya Ulinzi itawasili itatolewa baadae na vyombo vya habari ambapo timu inatarajiwa pia kujipima ubavu kwa kucheza na timu ya Yanga.
Alisema pia kikosi cha Simba kinatarajiwa kuondoka kuondoka Septemba 5 kuelekea katika kituo chake kipya cha Mwanza ambapo ndipo itakapokuwa ikicheza michezo yake ya nyumbani ikitumia Uwanja wa CCM, Kirumba.
Wakati huohuo Rage alisema klabu hiyo bado inaona vilabu vya Ligi Kuu Tanzania Bara vinaonewa kwa kukatwa kodi ya ongezeko la thamani (VAT) na Mamlaka ya Mapato (TRA).
Alisema kwa mujibu wa sheria za makato ya kodi inasema kwamba anayepaswa kulipa VAT ni yule ambaye amesajiliwa na TRA na si vinginevyo.
Alisema akifafanua kuwa uongozi wa klabu hiyo umechunguza suala hilo kwa kina na kuona kwamba vilabu vyote vya Ligi Kuu havijasajiliwa na TRA zaidi ya Shikisho la Soka nchini (TFF) wenyewe ambao ndio wamesajiliwa hivyo haoni mantiki ya wao kukatwa kodi.
RAGE ALIDAI GAZETI FIDIA YA BILIONI MOJA.
UONGOZI wa Klabu ya Simba umelipeleka mahakamani gazeti moja binafsi na kulidai shs. bilioni moja kwa kuchapisha habari za uzushi na uchonganishi kuhusu klabu hiyo.
Kauli hiyo imekuja kufuatiwa gazeti la Mwanaspoti ambalo hutoka kila wiki kuchapisha habari katika toleo namba 1070 la Agosti 28-30 lililokuwa na kichwa cha habari kinachosema "Siku 110 za Rage na porojo zake Simba", "Rage ni yule yule hajabadilika".
Akizungumza Dar es Salaam jana, Mwenyekiti wa klabu hiyo, Ismail Rage alisema uongozi umesikitishwa na taarifa hizo zilizotolewa na gazeti hilo kwani ni za uzushi na za kupotosha.
Alisema habari hiyo ambayo ilisomeka katika kurasa za 6 na 8 ilikuwa kuaibisha taaluma ya uandishi wa habari za michezo na uvunjwaji wa sheria za nchi kwa kuandika matusi ambayo yaliyoelekezwa kwa uongozi wa Simba na Mwenyekiti wake.
"Toka tuingie uongozi mpya uingie madarakani tumekuwa tukijitahidi kuwa na mahusiano mazuri na vyombo vya habari isipokuwa vyombo vichache vyenye tabia ya kuandika habari zisizo na ukweli zenye lengo lakuturudisha nyuma" alisema Rage.
Alisema kutokana na hilo Kamati ya Utendaji ya klabu hiyo ilikutana hivi karibuni na kuona kwamba kuna umuhimu wa kuchukua hatua za kisheria kwa kudai kuombwa msamaha kwa kudhalilishwa huko na fidia ya shs. bilioni moja.
"Kamati ya utendaji ambayo ilikutana chini ya Makamu Mwenyekiti Godfrey Nyange ililipa suala hili umuhimu kwa kuwa waliona ni habari za udhalilishaji zina lengo la kubomoa uongozi wa klabu, wanachama pamoja na mashabiki wa klabu ndio maana wakaamua kuchukua hatua za kisheria" aliongeza Rage.
Alisema suala hilo litakuwa ni mara ya mwisho kuongelewa na uongozi wa klabu hiyo kwenye vyombo vya habari kwa sababu sheria imeshaanza kuchukua mkondo wake.
VENUS AANZA VYEMA US OPEN.
Akicheza mechi ya kwanza baada ya miezi miwili, mchezaji tenisi nyota wa Marekani, Venus Williams alimshinda mpinzani wake, Roberta Vinci kutoka Italia kupata ushindi wa seti 6-4, 6-1 katika michuano ya U.S. Open raundi ya pili.
Venus alitakiwa kupumzika baada ya kuumia goti la kushoto baada ya kupata maumivu Juni 29 katika mchezo wa robo fainali ya michuano ya Wimbledon. Katika mchezo huo, nyota huyo nambari tatu kwa ubora duniani, alionyesha kiwango bora kabla ya kupata ushindi huo.
Katika mchezo mwingine, mchezaji wa zamani nambari moja kwa ubora duniani, Ana Ivanovic alipenya raundi ya pili ya michuano hiyo baada ya kushinda seti 6-3, 6-2 dhidi ya Ekaterina Makarova anayeshikilia nafasi ya 52 kwa viwango. Ana alishika nafasi hiyo baada ya kung'ara mwaka 2008.
Mserbia huyo aliyeporomoka kwa viwango vya ubora hadi kufikia nafasi ya 40, alifanya kazi ya ziada kupata ushindi huo baada ya mpinzani wake kutoa upinzani. Mwaka 2008, aliishia raundi ya pili. Tangu michuano ya U.S Open ianzishwe mwaka 1968, hakuna mwanamke aliyekuwa akishikilia nafasi ya kwanza kutupwa nje hatua ya awali.
"Jambo la msingi kwangu nimefurahi nimerejea katika kiwango, ni mwanzo mzuri wa michuano. Nimejitahidi kudhibiti baadhi ya presha na haya ni matokeo mazuri kwangu," alisema mchezaji huyo.
Venus alitakiwa kupumzika baada ya kuumia goti la kushoto baada ya kupata maumivu Juni 29 katika mchezo wa robo fainali ya michuano ya Wimbledon. Katika mchezo huo, nyota huyo nambari tatu kwa ubora duniani, alionyesha kiwango bora kabla ya kupata ushindi huo.
Katika mchezo mwingine, mchezaji wa zamani nambari moja kwa ubora duniani, Ana Ivanovic alipenya raundi ya pili ya michuano hiyo baada ya kushinda seti 6-3, 6-2 dhidi ya Ekaterina Makarova anayeshikilia nafasi ya 52 kwa viwango. Ana alishika nafasi hiyo baada ya kung'ara mwaka 2008.
Mserbia huyo aliyeporomoka kwa viwango vya ubora hadi kufikia nafasi ya 40, alifanya kazi ya ziada kupata ushindi huo baada ya mpinzani wake kutoa upinzani. Mwaka 2008, aliishia raundi ya pili. Tangu michuano ya U.S Open ianzishwe mwaka 1968, hakuna mwanamke aliyekuwa akishikilia nafasi ya kwanza kutupwa nje hatua ya awali.
"Jambo la msingi kwangu nimefurahi nimerejea katika kiwango, ni mwanzo mzuri wa michuano. Nimejitahidi kudhibiti baadhi ya presha na haya ni matokeo mazuri kwangu," alisema mchezaji huyo.
YOBO ATIMKIA WEST HAM.
LONDON, England
BEKI wa Everton Joseph Yobo amemfuata mshambuliaji nyota wa Nigeria, Obinna Nsofor baada ya kuihama Everto na kutua klabu ya West Ham United muda mfupi kabla ya msimu wa usajili wa majira ya kiangazi kufikia ukingoni.
Nahodha huyo wa zamani wa Nigeria, amejiunga West Ham kwa mkopo wa miezi sita. Wiki iliyopita Nsofor alikamilisha usajili wa kutua London baada ya kutia saini mkataba wa muda mrefu akitokea kwa mabingwa wa Ulaya Inter Milan.
Mchezaji huyo alijiunga Everton kwa mkopo mwaka 2002 kutoka klabu ya Olympique Marseille ya Ufaransa. Yobo ametimia West Ham baada ya kukosa namba kikosi cha kwanza na huenda beki huyo wa kati akaongeza mkataba wa muda mrefu ili apate nafasi ya kulinda kiwango chake.
Yobo (29) tayari amejiunga na kambi ya timu ya taifa Nigeria 'Super Eagles' inayojiandaa na mchezo wa kufuzu fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika ambapo kikosi hicho kitashuka uwanjani mwishoni mwa wiki kuvaana na Madagascar mjini Abuja.
Kabla ya kupata mtihani wa namba kikosi cha kwanza, mchezaji huyo alikuwa beki tegemeo wa Everton tangu alipotua Goodson Park. Yobo alikwenda Afrika Kusini na Nigeria kushiriki fainali za Kombe la Dunia ambapo timu hiyo iliboronga. Katika michuano hiyo Hispania ilitwaa kombe baada ya kuifunga Uholanzi bao 1-0.
BEKI wa Everton Joseph Yobo amemfuata mshambuliaji nyota wa Nigeria, Obinna Nsofor baada ya kuihama Everto na kutua klabu ya West Ham United muda mfupi kabla ya msimu wa usajili wa majira ya kiangazi kufikia ukingoni.
Nahodha huyo wa zamani wa Nigeria, amejiunga West Ham kwa mkopo wa miezi sita. Wiki iliyopita Nsofor alikamilisha usajili wa kutua London baada ya kutia saini mkataba wa muda mrefu akitokea kwa mabingwa wa Ulaya Inter Milan.
Mchezaji huyo alijiunga Everton kwa mkopo mwaka 2002 kutoka klabu ya Olympique Marseille ya Ufaransa. Yobo ametimia West Ham baada ya kukosa namba kikosi cha kwanza na huenda beki huyo wa kati akaongeza mkataba wa muda mrefu ili apate nafasi ya kulinda kiwango chake.
Yobo (29) tayari amejiunga na kambi ya timu ya taifa Nigeria 'Super Eagles' inayojiandaa na mchezo wa kufuzu fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika ambapo kikosi hicho kitashuka uwanjani mwishoni mwa wiki kuvaana na Madagascar mjini Abuja.
Kabla ya kupata mtihani wa namba kikosi cha kwanza, mchezaji huyo alikuwa beki tegemeo wa Everton tangu alipotua Goodson Park. Yobo alikwenda Afrika Kusini na Nigeria kushiriki fainali za Kombe la Dunia ambapo timu hiyo iliboronga. Katika michuano hiyo Hispania ilitwaa kombe baada ya kuifunga Uholanzi bao 1-0.
SARE YAMCHEFUA RAFAEL BENITEZ.
ROME, Italia
MABINGWA wa Italia, Inter Milan jana walitoka uwanjani vichwa chini baada ya kulazimishwa suluhu na Bologna katika mchezo wa kwanza wa ufunguzi wa Ligi Kuu (Serie A) nchini humo.
Matokeo hayo yalionekana kumkasirisha kocha mpya wa mabingwa hao wa Ulaya, Rafael Benitez aliyewashukia wachezaji wake akidai walicheza kizembe na kuchangia kupata matokeo hayo ya kushangaza. Mahasimu wao wakubwa AC Milan, walianza vyema baada ya kuikandamiza Lecce mabao 4-0.
Bologna ilicheza mchezo huo bila kocha Franco Colomba aliyetimuliwa na rais wa klabu hiyo Sergio Porcedda. Kocha msaidizi wa kikosi hicho Paolo Magnani, alikuwa kwenye benchi na kushuhudia vijana wake wakitoa upinzani kwa mabingwa hao licha ya Rafael Benitez kucheza wachezaji nyota.
Nahodha wa Cameroon, Samuel Eto'o alifanya kazi kubwa kuipenya ngome ya Bologna kutafuta mabao lakini mashuti yake makali hayakuzaa matunda. Kipa wa timu hiyo, Emiliano Viviano alikuwa nyota wa mchezo baada ya kuokosa kwa ustadi mabao ya Inter Milan.
Benitez aliyechukuwa nafasi ya Jose Mourinho aliyetua Real Madrid, alitumia mfumo wa 4-4-3, lakini Inter Milan ilishindwa kufua dafu mbele ya wenyeji wao ambao walicheza mchezo wa nguvu muda wote. Kocha huyo wa zamani wa Liverpool alimsifu Viviano akidai aliwanyima ushindi kwa kuokoa mabao mengi.
Mkenya, McDonald Mariga alifumua shuti lililogonga mwamba baada ya kupata pasi ya Esteban Cambiasso. Kipa, Viviano alifanya kazi ya ziada kwa kuokoa mpira uliopigwa na kiungo Wesley Sneijde dakika 73 kuokoa kwa kichwa. Eto'o, alipiga shuti umbali wa yadi mbili lakini Viviano aliokoa.
MABINGWA wa Italia, Inter Milan jana walitoka uwanjani vichwa chini baada ya kulazimishwa suluhu na Bologna katika mchezo wa kwanza wa ufunguzi wa Ligi Kuu (Serie A) nchini humo.
Matokeo hayo yalionekana kumkasirisha kocha mpya wa mabingwa hao wa Ulaya, Rafael Benitez aliyewashukia wachezaji wake akidai walicheza kizembe na kuchangia kupata matokeo hayo ya kushangaza. Mahasimu wao wakubwa AC Milan, walianza vyema baada ya kuikandamiza Lecce mabao 4-0.
Bologna ilicheza mchezo huo bila kocha Franco Colomba aliyetimuliwa na rais wa klabu hiyo Sergio Porcedda. Kocha msaidizi wa kikosi hicho Paolo Magnani, alikuwa kwenye benchi na kushuhudia vijana wake wakitoa upinzani kwa mabingwa hao licha ya Rafael Benitez kucheza wachezaji nyota.
Nahodha wa Cameroon, Samuel Eto'o alifanya kazi kubwa kuipenya ngome ya Bologna kutafuta mabao lakini mashuti yake makali hayakuzaa matunda. Kipa wa timu hiyo, Emiliano Viviano alikuwa nyota wa mchezo baada ya kuokosa kwa ustadi mabao ya Inter Milan.
Benitez aliyechukuwa nafasi ya Jose Mourinho aliyetua Real Madrid, alitumia mfumo wa 4-4-3, lakini Inter Milan ilishindwa kufua dafu mbele ya wenyeji wao ambao walicheza mchezo wa nguvu muda wote. Kocha huyo wa zamani wa Liverpool alimsifu Viviano akidai aliwanyima ushindi kwa kuokoa mabao mengi.
Mkenya, McDonald Mariga alifumua shuti lililogonga mwamba baada ya kupata pasi ya Esteban Cambiasso. Kipa, Viviano alifanya kazi ya ziada kwa kuokoa mpira uliopigwa na kiungo Wesley Sneijde dakika 73 kuokoa kwa kichwa. Eto'o, alipiga shuti umbali wa yadi mbili lakini Viviano aliokoa.
Monday, August 30, 2010
JINAMIZI LA MAUMIVU LAENDELEA KUMUANDAMA VAN PERSIE.
Mshambuliaji wa Arsenal Robin van Persie atakuwa nje ya uwanja kwa wiki kadhaa kuokana na maumivu ya kifundo cha mguu.
Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 27 aliumia wakati timu yake iliposhinda mabao 2-1 katika wa Ligi Kuu dhidi ya Blackburn, Jumamosi iliyopita.
Van Persie atakosa mechi ambazo timu yake Taifa ya Uholanzi itacheza kusaka tiketi ya kucheza michuano ya Ulaya dhidi ya San Mario na Finland.
Msimu uliopita mchezaji huyo hakucheza kwa miezi mitano kufuatia majeraha ya kifundo cha mguu tena aliyopata wakati akiitumikia timu yake ya Taifa.
Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 27 aliumia wakati timu yake iliposhinda mabao 2-1 katika wa Ligi Kuu dhidi ya Blackburn, Jumamosi iliyopita.
Van Persie atakosa mechi ambazo timu yake Taifa ya Uholanzi itacheza kusaka tiketi ya kucheza michuano ya Ulaya dhidi ya San Mario na Finland.
Msimu uliopita mchezaji huyo hakucheza kwa miezi mitano kufuatia majeraha ya kifundo cha mguu tena aliyopata wakati akiitumikia timu yake ya Taifa.
MASCHERANO ALAMBA MKATABA WA MIAKA MINNE BARCA.
Mchezaji huyo wa kimataifa kutoka Argentina alifaulu vipimo vya afya Jumatatu asubuhi katika klabu hiyo na kukamilisha uhamisho wake kutoka Anfield. Ripoti hiyo ilikisia kwamba Liverpool wamelipwa erou milioni 21.
"Mascherano sasa ni mchezaji rasmi wa Barca baada ya kutia saini mkataba wa miaka minne Jumatatu mchana na klabu hiyo" ilisema taarifa ya mtandao.
Mchezaji huyo ataungana na David Villa na Adriano wakiwa wachezaji wapya waliosaini mikataba na klabu hiyo na kufanya itumie kiasi cha erou milioni 70.5 kwa kununua wachezaji msimu huu.
DROGBA AJITOA TIMU YA TAIFA.
BAADA minong'ono ya muda mrefu kuhusu uwezekano kwa Didier Drogba kujitoa katika timu ya Taifa ya Ivory Coast "The Elephant", hatimaye imekuwa kweli. Kocha wa timu hiyo Francois Zahoui aliwaambia waandishi wa habari mjini Abidjan kwamba safari yake ya mjini London kwenda kumshawishi mchezaji huyo iligonga mwamba.
Zahoui alimtembelea mchezaji huyo ili kumambia ajiunge na timu hiyo kwa ajili ya mchezo wa kusaka tiketi ya kucheza Michuano ya Mataifa ya Afrika dhidi ya Rwanda, mshambuliaji huyo anayechezea klabu ya Chelsea alikataa kwa kutoa taarifa za kusikitisha kuhusu kujiondoa kwake kwenye kikosi hicho.
"Ni kweli nilimtembelea Drogba na aliniambia kuwa amechoka na nataka kujiondoa timu ya Taifa kwa muda. Drogba ni mchezaji bora duniani na pengo lake ni ni vigumu kuzibika katika kikosi cha Elephants, lakini nalazimika kuheshimu maamuzi yake. Tutamwacha apumzike ili kurudisha nguvu kimwili na kiakili na tuanaomba atarudi mapema siku zijazo katika kikosi cha Taifa" alisema Zahoui.
Hatahivyo, wachambuzi wa michezo nchini Ivory Coast wanasema mchezaji sio kwamba amechoka kama anavyosema ila ana mawazo juu ya ugomvi usioisha na shirikisho la Soka la Uingereza (FA) na muundo wa timu yake.
Lakini Rais wa FA Jacques Anoma aliondoa wasiwasi huo kwa kusema kuwa ahawana matatizo yoyote na mchezaji huyo.
Zahoui alimtembelea mchezaji huyo ili kumambia ajiunge na timu hiyo kwa ajili ya mchezo wa kusaka tiketi ya kucheza Michuano ya Mataifa ya Afrika dhidi ya Rwanda, mshambuliaji huyo anayechezea klabu ya Chelsea alikataa kwa kutoa taarifa za kusikitisha kuhusu kujiondoa kwake kwenye kikosi hicho.
"Ni kweli nilimtembelea Drogba na aliniambia kuwa amechoka na nataka kujiondoa timu ya Taifa kwa muda. Drogba ni mchezaji bora duniani na pengo lake ni ni vigumu kuzibika katika kikosi cha Elephants, lakini nalazimika kuheshimu maamuzi yake. Tutamwacha apumzike ili kurudisha nguvu kimwili na kiakili na tuanaomba atarudi mapema siku zijazo katika kikosi cha Taifa" alisema Zahoui.
Hatahivyo, wachambuzi wa michezo nchini Ivory Coast wanasema mchezaji sio kwamba amechoka kama anavyosema ila ana mawazo juu ya ugomvi usioisha na shirikisho la Soka la Uingereza (FA) na muundo wa timu yake.
Lakini Rais wa FA Jacques Anoma aliondoa wasiwasi huo kwa kusema kuwa ahawana matatizo yoyote na mchezaji huyo.
TEMEKE UNITED YAPATA MCHECHETO LIGI DARAJA LA KWANZA.
KOCHA wa timu ya soka ya Temeke United (TMK United), itakayoshiriki michuano ijayo ya Ligi ya soka Daraja la Kwanza, Keneth Mwaisabula ana hofu kuwa klabu yake imepangwa kwenye kundi gumu.
Kocha huyo mkongwe nchini ambaye amejiunga na kikosi hicho msimu huu kuchukua nafasi ya Fred Felix 'Minziro', aliyasema hayo mwishoni mwa wiki jijini Dar es Salaam alipokua akizungumzia ushiriki wa timu hiyo kwenye ligi.
Mwaisabaula alisema TMK united ambayo ilikua miongoni mwa klabu tisa, ambazo zilicheza fainali za ligi hiyo msimu uluiopita kwenye Uwanja wa Sheikh Amri Abeid, Arusha na kushindwa kupanda daraja msimu huu imepangwa kundi A.
Kundi hilo pia lina timu zingine za Manyema Rangers, Villa Squad (Dar es Salaam), Burkinafaso (Morogoro) na Polisi (Iringa).
"Ugumu wa kundi langu nikilinganisha na makundi mengine unatokana na kuwa kuna klabu mbili, ambazo tayari zilishawahi kucheza Ligi Kuu. Hivyo nadhani zenyewe zitakua na uzoefu mkubwa na bila shaka zitatupa ushidani mkubwa," alisema.
Alisema lakini pamoja na kuweko kwa hali hiyo amewaandaa vizuri wachezaji wake, kwani alisema atahakisha vijana wake wanacheza kwa ushindani ili hatimaye wazishinde timu hizo na kupanda na kucheza ligi kuu Tanzania Bara msimu ujao.
Kulingana na ratiba ambayo imetolewa mwishoni mwa wiki ligi hiyo ambayo itapandisha timu nne, imepangwa kuanza Setemba 4, mwaka huu kwenye viwanja mbalimbali nchini.
Makundi mengine na klabu shiriki katika mabano ni Coastal Union ya Tanga, Nyerere FC ya Kilimanjaro, Morani FC ya Manyara, Bishop FC ya Arusha, Tanzania Prisons ya Mbeya na Transit Camp ya Dar es Salaam (B).
Zingine ni Oljoro JKT ya Arusha, Mwanza United ya Mwanza, Rhino FC ya Tabora, Polisi ya Morogoro, Polisi ya Tabora na 94KJ ya Dar es Salaam (C).
Ligi hiyo imepangwa kuchezwa kwenye viwanja vya Uhuru (Dar es Salaam), Sheikh Amri Abeid (Arusha),Jamhuri (Morogoro), Ushirika (Moshi), Samora (Iringa), Mkwakwani (Tanga), CCM Kirumba (Mwanza), Ally Hassan Mwinyi (Tabora) na Jamhuri (Dodoma).
Kocha huyo mkongwe nchini ambaye amejiunga na kikosi hicho msimu huu kuchukua nafasi ya Fred Felix 'Minziro', aliyasema hayo mwishoni mwa wiki jijini Dar es Salaam alipokua akizungumzia ushiriki wa timu hiyo kwenye ligi.
Mwaisabaula alisema TMK united ambayo ilikua miongoni mwa klabu tisa, ambazo zilicheza fainali za ligi hiyo msimu uluiopita kwenye Uwanja wa Sheikh Amri Abeid, Arusha na kushindwa kupanda daraja msimu huu imepangwa kundi A.
Kundi hilo pia lina timu zingine za Manyema Rangers, Villa Squad (Dar es Salaam), Burkinafaso (Morogoro) na Polisi (Iringa).
"Ugumu wa kundi langu nikilinganisha na makundi mengine unatokana na kuwa kuna klabu mbili, ambazo tayari zilishawahi kucheza Ligi Kuu. Hivyo nadhani zenyewe zitakua na uzoefu mkubwa na bila shaka zitatupa ushidani mkubwa," alisema.
Alisema lakini pamoja na kuweko kwa hali hiyo amewaandaa vizuri wachezaji wake, kwani alisema atahakisha vijana wake wanacheza kwa ushindani ili hatimaye wazishinde timu hizo na kupanda na kucheza ligi kuu Tanzania Bara msimu ujao.
Kulingana na ratiba ambayo imetolewa mwishoni mwa wiki ligi hiyo ambayo itapandisha timu nne, imepangwa kuanza Setemba 4, mwaka huu kwenye viwanja mbalimbali nchini.
Makundi mengine na klabu shiriki katika mabano ni Coastal Union ya Tanga, Nyerere FC ya Kilimanjaro, Morani FC ya Manyara, Bishop FC ya Arusha, Tanzania Prisons ya Mbeya na Transit Camp ya Dar es Salaam (B).
Zingine ni Oljoro JKT ya Arusha, Mwanza United ya Mwanza, Rhino FC ya Tabora, Polisi ya Morogoro, Polisi ya Tabora na 94KJ ya Dar es Salaam (C).
Ligi hiyo imepangwa kuchezwa kwenye viwanja vya Uhuru (Dar es Salaam), Sheikh Amri Abeid (Arusha),Jamhuri (Morogoro), Ushirika (Moshi), Samora (Iringa), Mkwakwani (Tanga), CCM Kirumba (Mwanza), Ally Hassan Mwinyi (Tabora) na Jamhuri (Dodoma).
MABONDIA WA RIDHAA TAIFA KUENDELEA NA MAZOEZI YA JUMUIYA YA MADOLA.
MABONDIA wa timu ya Taifa ya Ngumi za Ridhaa wataendelea na mazoezi kwa ajili ya maandalizi ya michuano ya Jumuiya ya Madola inayotarajiwa kufanyika baadaye Octoba mwaka huu, Delhi, India.
Akizungumza Dar es Salaam jana, Katibu Mkuu wa Shirikisho la Ngumi za Ridhaa nchini (BFT), Makore Mashaga alisema wamefikia hatua hiyo ili kutoingilia mipango ya kocha ambayo alikwishaiandaa.
Alisema wakati mabondia hao wakiendelea na mazoezi Kamati Maalumu iliyoundwa na BFT kuchunguza tukio la mgomo wa mabondia hao katika mashindano ya East Afrika Mabingwa wa Mabingwa nayo itaendelea na kazi yake kama kawaida.
Alisema mara baada ya kamati hiyo kumaliza uchunguzi wake itawafikishia taarifa pamoja na kuwashauri hatua za kuchukua halafu ndipo kamati ya utendaji na yenyewe itakaa na kuamua la kufanya.
"Unajua mashindano ya jumuiya ya madola yapo karibu sana ndio maana tunakuwa makini katika suala hili ili tusije kuvuruga mipango ya mwalimu aliyoipanga kwa ajili ya timu hiyo" aliongeza Mashaga.
Mabondia hao waligomea mashindano hayo kutokana na kile walichodai kuwa uongozi wa BFT ulikuwa hauwajali kwa kuwanyima baadhi ya mahitaji muhimu.
Moja ya mahitaji ambayo walikuwa wakidai ni kwa wageni kuwekwa kambini ili wao wakiambia waende kula majumbani kwao na kurudi ulingoni kuendelea na mashindano.
Akizungumza Dar es Salaam jana, Katibu Mkuu wa Shirikisho la Ngumi za Ridhaa nchini (BFT), Makore Mashaga alisema wamefikia hatua hiyo ili kutoingilia mipango ya kocha ambayo alikwishaiandaa.
Alisema wakati mabondia hao wakiendelea na mazoezi Kamati Maalumu iliyoundwa na BFT kuchunguza tukio la mgomo wa mabondia hao katika mashindano ya East Afrika Mabingwa wa Mabingwa nayo itaendelea na kazi yake kama kawaida.
Alisema mara baada ya kamati hiyo kumaliza uchunguzi wake itawafikishia taarifa pamoja na kuwashauri hatua za kuchukua halafu ndipo kamati ya utendaji na yenyewe itakaa na kuamua la kufanya.
"Unajua mashindano ya jumuiya ya madola yapo karibu sana ndio maana tunakuwa makini katika suala hili ili tusije kuvuruga mipango ya mwalimu aliyoipanga kwa ajili ya timu hiyo" aliongeza Mashaga.
Mabondia hao waligomea mashindano hayo kutokana na kile walichodai kuwa uongozi wa BFT ulikuwa hauwajali kwa kuwanyima baadhi ya mahitaji muhimu.
Moja ya mahitaji ambayo walikuwa wakidai ni kwa wageni kuwekwa kambini ili wao wakiambia waende kula majumbani kwao na kurudi ulingoni kuendelea na mashindano.
KINDA LA EVERTON LAMTOA UDENDA FERGIE.
KOCHA wa Manchester United, Sir Alex Ferguson amemtupia ndoano kiungo chipukizi wa Everton, Jack Rodwell (19) akitaka kumsajili majira ya kiangazi kabla ya dirisha la usajili kufungwa rasmi leo.
Ferguson ameahidi kutoa pauni milioni 10 (sh. bilioni 23) pamoja na kiungo wa kimataifa wa England, Michael Carrick. Everton imeonyesha nia ya kutaka kiungo huyo abaki Goodson Park lakini itaangalia ofa ya United.
Rodwell anayecheza timu ya taifa ya England chini ya miaka 21, ana kipaji cha kucheza nafasi ya kiungo mkakaji na beki wa kati, amekuwa na mvuto kwa Ferguson anayetaka kumjenga ili kumrithi beki mkongwe Rio Ferdinand anayekabiliwa na majeruhi muda mrefu.
Ferguson amefananisha kipaji cha kinda huyo na Ferdinand alipokuwa beki chipuziki wa Leeds United kabla ya kumsajili. Nguli huyo anashikilia rekodi ya beki ghali zaidi duniani.
United inataka kumsajili kabla ya dirisha kufungwa ikihofia kulipa fedha nyingi katika usajili wa dirisha dogo. Rodwell aliwahi kutwaa tuzo ya mchezaji bora chipukizi wa Ulaya alipokuwa na miaka 16.
Ferguson ameahidi kutoa pauni milioni 10 (sh. bilioni 23) pamoja na kiungo wa kimataifa wa England, Michael Carrick. Everton imeonyesha nia ya kutaka kiungo huyo abaki Goodson Park lakini itaangalia ofa ya United.
Rodwell anayecheza timu ya taifa ya England chini ya miaka 21, ana kipaji cha kucheza nafasi ya kiungo mkakaji na beki wa kati, amekuwa na mvuto kwa Ferguson anayetaka kumjenga ili kumrithi beki mkongwe Rio Ferdinand anayekabiliwa na majeruhi muda mrefu.
Ferguson amefananisha kipaji cha kinda huyo na Ferdinand alipokuwa beki chipuziki wa Leeds United kabla ya kumsajili. Nguli huyo anashikilia rekodi ya beki ghali zaidi duniani.
United inataka kumsajili kabla ya dirisha kufungwa ikihofia kulipa fedha nyingi katika usajili wa dirisha dogo. Rodwell aliwahi kutwaa tuzo ya mchezaji bora chipukizi wa Ulaya alipokuwa na miaka 16.
AC MILAN YAMPA ZAWADI IBRAHIMOVIC
ROME, Italia
AC Milan imeanza msimu mpya kwa kishindo kwa kupata ushindi wa mabao 4-0 dhidi ya Lecce ambapo mshambuliaji mpya Zlatan Ibrahimovic alishuhudia mchezo huo Uwanja wa San Siro.
Ibrahimovic ametua AC Milan akitokea Barcelona na juzi alitambulishwa kwa heshima mbele ya mashabiki wa klabu hiyo. Nyota huyo wa zamani wa Inter Milan.
Nahodha huyo wa Sweden alipita mbele ya zulia jekundu kabla ya kutambulishwa. "Nimekuja hapa kushinda, mwaka huu utakuwa wa ushindi kwa kila jambo," alisema Ibrahimovic aliyekuwa amekaa jirani na mmiliki wa AC Milan, Silvio Berlusconi.
Alexandre Pato alikuwa wa kwanza kumpa raha Ibrahimovic kwa kufunga mabao mawili, Thiago Silva na nguli wa Italia, Filippo Inzaghi walichangia ushindi huo kwa kufunga bao moja kila mmoja. Inzaghi, alifunga bao lake la 154.
Kocha mpya wa AC Milan, Massimiliano Allegri alisema amefurahi timu hiyo imeanza ligi kwa ushindi na alidokeza Ibrahimovic ataanza kuitumikia klabu hiyo katika mchezo dhidi ya Cesena baada ya kufanya mazoezi siku 14.
Allegri anatarajiwa kupata mtihani mgumu kupanga safu ya ushambuliaji baada ya kumsajili Ibrahimovic atakayechuana na Pato, Ronaldinho, Marco Borriello na Inzaghi kuwania namba. Katika mechi zingine za Italia, Juventus ilishinda bao 1-0 dhidi ya Bari.
Napoli ilitoka sare bao 1-1 na Fiorentina, Sampdoria iliichapa Lazio 2-0, Chievo Verona ilipata ushindi wa mabao 2-1 ilipovaana na Catania. Palermo ilitoka suluhu na Cagliari 0 wakati Parma iliinyuka Brescia mabao 2-0 na AS Roma ililazimishwa suluhu na Cesena.
AC Milan imeanza msimu mpya kwa kishindo kwa kupata ushindi wa mabao 4-0 dhidi ya Lecce ambapo mshambuliaji mpya Zlatan Ibrahimovic alishuhudia mchezo huo Uwanja wa San Siro.
Ibrahimovic ametua AC Milan akitokea Barcelona na juzi alitambulishwa kwa heshima mbele ya mashabiki wa klabu hiyo. Nyota huyo wa zamani wa Inter Milan.
Nahodha huyo wa Sweden alipita mbele ya zulia jekundu kabla ya kutambulishwa. "Nimekuja hapa kushinda, mwaka huu utakuwa wa ushindi kwa kila jambo," alisema Ibrahimovic aliyekuwa amekaa jirani na mmiliki wa AC Milan, Silvio Berlusconi.
Alexandre Pato alikuwa wa kwanza kumpa raha Ibrahimovic kwa kufunga mabao mawili, Thiago Silva na nguli wa Italia, Filippo Inzaghi walichangia ushindi huo kwa kufunga bao moja kila mmoja. Inzaghi, alifunga bao lake la 154.
Kocha mpya wa AC Milan, Massimiliano Allegri alisema amefurahi timu hiyo imeanza ligi kwa ushindi na alidokeza Ibrahimovic ataanza kuitumikia klabu hiyo katika mchezo dhidi ya Cesena baada ya kufanya mazoezi siku 14.
Allegri anatarajiwa kupata mtihani mgumu kupanga safu ya ushambuliaji baada ya kumsajili Ibrahimovic atakayechuana na Pato, Ronaldinho, Marco Borriello na Inzaghi kuwania namba. Katika mechi zingine za Italia, Juventus ilishinda bao 1-0 dhidi ya Bari.
Napoli ilitoka sare bao 1-1 na Fiorentina, Sampdoria iliichapa Lazio 2-0, Chievo Verona ilipata ushindi wa mabao 2-1 ilipovaana na Catania. Palermo ilitoka suluhu na Cagliari 0 wakati Parma iliinyuka Brescia mabao 2-0 na AS Roma ililazimishwa suluhu na Cesena.
ROBBEN NJE MPAKA MWAKANI.
KLABU ya Bayern Munich huenda ikamkosa mshambuliaji wake nyota, Arjen Robben hadi mwakani baada ya kuumia uvungu wa goti.
Mkurugenzi wa Ufundi wa Bayern Munich, Christian Nerlinger alisema mkongwe huyo wa Uholanzi amepata maumivu makali na atakuwa nje ya uwanja mude mrfu kabla ya kupona.
Alisema nguli huyo pia anakabiliwa na maumivu ya misuli yaliyoanza kumsumbua muda mfupi kabla ya kuanza fainali za Kombe la Dunia zilizomalizika Julai 11, Afrika Kusini.
Bayern Munich iliwahi kupeleka malalamiko Shirikisho la Soka Duniani (FIFA), kuishitaki Uholanzi kupinga kumtumia Robben katika fainali hizo ambapo kikosi hicho kilichapwa bao 1-0 na Hispania katika mechi ya fainali. Robben amefunga mabao 16 msimu uliopita.
BARCELONA YAUA, MADRID YANG'AMG'ANIWA
BARCELONA imeanza vyema kutetea ubingwa wake baada ya juzi kuibamiza Racing Santander mabao 3-0 katika mchezo wa ligi uliochezwa Uwanja wa Santander Sardinero.
Mwanasoka bora wa dunia 2009, Lionel Messi, Andres Iniesta na David Villa, waliifungia Barcelona mabao hayo. Mahasimu wao wakubwa Real Madrid walilazimishwa suluhu na Mallorca.
Matokeo hayo ni mwanzo mbaya kwa Jose Mourinho aliyetua Real Madrid akitokea Inter Milan. "Timu hii tayari nzuri na kila kitu kinawezekana, kwa msingi huo huu ni mwanzo mzuri," alisema Villa.
Villa alifunga bao lake la kwanza Barcelona kwa ligi ya Hispania baada ya kutua Nou Camp katika usajili wa majira ya kiangazi.
Katika mchezo mwingine, Cristiano Ronaldo na Lassana Diara, waliumia katika mchezo dhidi ya Mallorca na kumpa hofu Mourinho.
Ronaldo aliumia kifundo cha mguu wa kulia katika mchezo huo na jana alitarajiwa kufanyiwa uchunguzi wa kina kuhusu maumivu yake. Nahodha huyo wa Ureno, atakosa michezo miwili ya kufuzu fainali za Kombe la Ulaya 2012 dhidi ya Cyprus na Norway.
Diarra ana hofu ya kuitumikia Ufaransa baada ya kuumia uvungu wa goti la kulia. Kiungo huyo alitarajiwa kufanyiwa uchunguzi kabla ya madaktari kutoa tathimini ya maumivu yake
Sunday, August 29, 2010
FABIO CAPELLO ATANGAZA KIKOSI CHA ENGLAND YUMO CROUCH NA DEFOE, JOE COLE NJE.
KOCHA wa timu ya Taifa ya Uingereza Fabio Capello alitangaza kikosi cha wachezaji 24 kitakachokuwa kikisaka tiketi kucheza michuano ya Ulaya (Euro 2012).
Wachezaji wawili wa Tottenham Jermain Defoe na Peter Cruoch ni miongoni mwa wachezaji waliorudishwa baada ya kuachwa katika mechi ya kirafiki dhidi ya Hungary.
Shaun Wright-Philips nae ameitwa katika kikosi hicho lakini mshambuliaji aliyetia saini katika klabu ya Liverpool msimu huu Joe Cole ameachwa na Capello.
Kikosi hicho kinakabiliwa na mchezo dhidi ya Bulgaria Septemba 3 mchezo utakaochezwa Uwanja wa Wembley ikifuatiwa na mchezo dhidi ya Switzerland mchezo utakaofanyika Basel Septemba 7.
Mchezo huo ni wa kwanza wa ushindani toka timu hiyo ifanye vibaya katika Kombe la Dunia huko Afrika Kusini.
Kikosi hicho pia kitakuwa bila ya wachezaji wake tegemeo Frank Lampard na John Terry ambao walipatwa na majeruhi wakati wakiitumikia klabu yao ya Chelsea.
Lakini pamoja na kuanza vibaya msimu huu kwa timu ya West Ham, Capello amewaita wachezaji mahiri wa klabu hiyo Matthew Upson na Carlton Cole.
Capello ambaye alishambuliwa wapenzi wa soka wa nchi hiyo kwa kauli yake dhidi ya mchezaji mkongwe wa nchi hiyo David Beckham wakati akihojiwa katika luninga kabla ya mchezo dhidi ya Hungary.
Muitaliano huyo alijirekebisha kwa kusema kuwa hakumaanisha kwamba anamuondoa moja kwa moja kikosini mchezaji huyo.
Capello alisema "Milango iko wazi kwa wachezaji wote lakini hivi sasa nafikiri kuhusu wachezaji wachanga. Wanahitaji kucheza zaidi ili kupata uzoefu. Tunajua umuhimu wa wachezaji wazoefu"
Kikosi cha England kitawakilishwa na:
Makipa: Scott Carson, Ben Foster, Joe Hart
Mabeki: Gary Cahill, Ashley Cole, Michael Dawson, Kieran Gibbs, Phil Jagielka, Glen Johnson, Joleon Lescott, Matthew Upson
Viungo: Gareth Barry, Michael Carrick, Steven Gerrard, Adam Johnson, James Milner, Theo Walcott, Shaun Wright-Phillips, Ashley Young
Washambuliaji: Darren Bent, Carlton Cole, Peter Crouch, Jermain Defoe, Wayne Rooney
Wachezaji wawili wa Tottenham Jermain Defoe na Peter Cruoch ni miongoni mwa wachezaji waliorudishwa baada ya kuachwa katika mechi ya kirafiki dhidi ya Hungary.
Shaun Wright-Philips nae ameitwa katika kikosi hicho lakini mshambuliaji aliyetia saini katika klabu ya Liverpool msimu huu Joe Cole ameachwa na Capello.
Kikosi hicho kinakabiliwa na mchezo dhidi ya Bulgaria Septemba 3 mchezo utakaochezwa Uwanja wa Wembley ikifuatiwa na mchezo dhidi ya Switzerland mchezo utakaofanyika Basel Septemba 7.
Mchezo huo ni wa kwanza wa ushindani toka timu hiyo ifanye vibaya katika Kombe la Dunia huko Afrika Kusini.
Kikosi hicho pia kitakuwa bila ya wachezaji wake tegemeo Frank Lampard na John Terry ambao walipatwa na majeruhi wakati wakiitumikia klabu yao ya Chelsea.
Lakini pamoja na kuanza vibaya msimu huu kwa timu ya West Ham, Capello amewaita wachezaji mahiri wa klabu hiyo Matthew Upson na Carlton Cole.
Capello ambaye alishambuliwa wapenzi wa soka wa nchi hiyo kwa kauli yake dhidi ya mchezaji mkongwe wa nchi hiyo David Beckham wakati akihojiwa katika luninga kabla ya mchezo dhidi ya Hungary.
Muitaliano huyo alijirekebisha kwa kusema kuwa hakumaanisha kwamba anamuondoa moja kwa moja kikosini mchezaji huyo.
Capello alisema "Milango iko wazi kwa wachezaji wote lakini hivi sasa nafikiri kuhusu wachezaji wachanga. Wanahitaji kucheza zaidi ili kupata uzoefu. Tunajua umuhimu wa wachezaji wazoefu"
Kikosi cha England kitawakilishwa na:
Makipa: Scott Carson, Ben Foster, Joe Hart
Mabeki: Gary Cahill, Ashley Cole, Michael Dawson, Kieran Gibbs, Phil Jagielka, Glen Johnson, Joleon Lescott, Matthew Upson
Viungo: Gareth Barry, Michael Carrick, Steven Gerrard, Adam Johnson, James Milner, Theo Walcott, Shaun Wright-Phillips, Ashley Young
Washambuliaji: Darren Bent, Carlton Cole, Peter Crouch, Jermain Defoe, Wayne Rooney
LIVERPOOL YASHINDA, MAN CITY YAPATA KICHAPO.
HATIMAYE Liverpool waliona mwezi baada ya kupata ushindi wa kwanza toka Ligi Kuu ya uingereza ianze kutimua vumbi msimu huu.
Alikuwa ni kiungo Fernando Torres aliyeifungia bao klabu yake hiyo na kufanya Liverpool kutoka kifua mbele kwa ushindi wa 1-0 dhidi ya West Brom katika Uwanja wa Anfield.
Baada ya kufanyiwa operesheni mara mbili ya magoti msimu uliopita na kuchelewa kurudi kutoka katika fainali za Kombe la Dunia mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 26 ameonekana kurudi kurudi katika kiwango chake.
Bao safi aliloshinda katika kipindi cha pili ambalo ni la kwanza kushinda katika timu hiyo toka Machi mwaka huu na la 50 kwa mashindano yote akiwa na klabu hiyo limeonyesha ubora wake.
Wakati Liverpool wakisherekea ushindi wao, Manchester City walipata mshtuko wa mwaka walipokubali kipigo cha bao 1-0 dhidi ya timu ya Sunderland.
Alikuwa ni mshambuliaji Darren Bent aliyepeleka kilio City kwa kufunga bao la penati dakika ya 90 baada ya kuangushwa katika eneo la hatari na Micah Richards na kumaliza uteja wa miaka kumi ya kufungwa na City.
Michezo mingine iliyochezwa leo ni pamoja na Aston Villa 1-0 Everton na Bolton Wanderers 2-2 Birmigham City.
Alikuwa ni kiungo Fernando Torres aliyeifungia bao klabu yake hiyo na kufanya Liverpool kutoka kifua mbele kwa ushindi wa 1-0 dhidi ya West Brom katika Uwanja wa Anfield.
Baada ya kufanyiwa operesheni mara mbili ya magoti msimu uliopita na kuchelewa kurudi kutoka katika fainali za Kombe la Dunia mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 26 ameonekana kurudi kurudi katika kiwango chake.
Bao safi aliloshinda katika kipindi cha pili ambalo ni la kwanza kushinda katika timu hiyo toka Machi mwaka huu na la 50 kwa mashindano yote akiwa na klabu hiyo limeonyesha ubora wake.
Wakati Liverpool wakisherekea ushindi wao, Manchester City walipata mshtuko wa mwaka walipokubali kipigo cha bao 1-0 dhidi ya timu ya Sunderland.
Alikuwa ni mshambuliaji Darren Bent aliyepeleka kilio City kwa kufunga bao la penati dakika ya 90 baada ya kuangushwa katika eneo la hatari na Micah Richards na kumaliza uteja wa miaka kumi ya kufungwa na City.
Michezo mingine iliyochezwa leo ni pamoja na Aston Villa 1-0 Everton na Bolton Wanderers 2-2 Birmigham City.
KIUNGO WA ARSENAL MBARONI KWA KUSHAMBULIA
KIUNGO wa timu ya Arsenal and Uingereza Jack Wilshere alikamatwa na polisi kufuatia tukio ambalo mwanamke alivunjwa mkono katika klabu ya usiku huko London.
Kiungo huyo mwenye umri wa miaka 18 alikamatwa mapema leo asubuhi lakini aliachiwa baadaye kwa dhamana akituhumiwa kwa kosa kushambulia.
Maofisa na watu wa huduma ya kwanza waliitwa eneo la tukio na kukuta mwanaume akiwa na majeraha ya kawaida pamoja na mwanamke aliyekuwa amevunjika mkono. Wote walipelekwa hospitali huko magharibi mwa London kwa matibabu.
Baadaye poilisi walisimamisha gari na kuwakamata wanaume wanne wawili kati yao wakiwa na umri wa miaka 18 na wengine 21 wakiwahisi kuhusika na shambulio hilo.
"Vijana hao walichukuliwa na kupelekwa kituo cha polisi kilichopo magharibi mwa London na kuachiwa kwa dhamana ambapo walitakiwa kuripoti katikati mwa Octoba kwa ajili ya kuhojiwa zaidi" alisema msemaji wa polisi.
"Mojawapo kati ya vijana waliokamatwa leo asubuhi alikuwapo Wilshere lakini aliachiwa kwa dhamana baadae" alisema msemaji wa mchezaji huyo.
Mchezaji huyo alisema kwamba atatoa ushirikiano wa kutosha kwa polishi ili kumaliza utata wa tukio hilo.
Kiungo huyo mwenye umri wa miaka 18 alikamatwa mapema leo asubuhi lakini aliachiwa baadaye kwa dhamana akituhumiwa kwa kosa kushambulia.
Maofisa na watu wa huduma ya kwanza waliitwa eneo la tukio na kukuta mwanaume akiwa na majeraha ya kawaida pamoja na mwanamke aliyekuwa amevunjika mkono. Wote walipelekwa hospitali huko magharibi mwa London kwa matibabu.
Baadaye poilisi walisimamisha gari na kuwakamata wanaume wanne wawili kati yao wakiwa na umri wa miaka 18 na wengine 21 wakiwahisi kuhusika na shambulio hilo.
"Vijana hao walichukuliwa na kupelekwa kituo cha polisi kilichopo magharibi mwa London na kuachiwa kwa dhamana ambapo walitakiwa kuripoti katikati mwa Octoba kwa ajili ya kuhojiwa zaidi" alisema msemaji wa polisi.
"Mojawapo kati ya vijana waliokamatwa leo asubuhi alikuwapo Wilshere lakini aliachiwa kwa dhamana baadae" alisema msemaji wa mchezaji huyo.
Mchezaji huyo alisema kwamba atatoa ushirikiano wa kutosha kwa polishi ili kumaliza utata wa tukio hilo.
Sneijder: Mourinho ataifundisha United
Wesley Sneijder anaamini ya kuwa kocha Jose Mourinho atakuwa ndiye mrithi wa Sir Alex Ferguson katika klabu ya mashetani wekundu Manchester United kama Mscot huyo ataachia ngazi.
Ferguson amekuwa akiifundisha klabu hiyo kwa kipindi cha miaka 24 na kuwa kocha mwenye mafanikio makubwa katika historia ya klabu hiyo.
Bado kumekuwa na tetesi juu ya nani atakuwa mrithi wa Furguson.
Kwa upande wake Sneijder ambaye katika michuano ya ligi ya mabingwa ulaya msimu uliopita alikuwa katika kikosi cha kocha Mourinho wakati huo akiwa Inter Milan anasema self-styled 'Special One' kwasasa anataka kazi Old Trafford.
Mdutch huyo ambaye alingara katika fainali za kombe la dunia akizungumza na Daily Star hii leo amesema
Nimekuwa n a mazungumzo ya kina na Jose na niko tayari kuweka pesa mezani juu ya Mourinho kuchukua nafasi ya Ferguson(kamari). Najua nafasi anayoitaka kwasasa ni kuwa meneja wa Manchester United.
Kama Ferguson anastaafu kilichopo akilini mwangu ni kwamba ,mpango mzima umekwisha kamilika na iko hivyo . One world-class manager leaves and another one takes over.
Najua Alex Ferguson atakuwa na mengi ya kuzungumza juu ya nani wa kuchukua nafasi yake hata kama wanatofautiana lakini bado kuna heshima kubwa kati yao.'
'
Mourinho akiwa sasa ni charge wa Real Madrid aeshakuwa na matamanio ya kurejea Premier League kufuatia kumbukumbu ya mafanikio akiwa na Chelsea.
AC MILAN YAMNYAKUA IBRAHIMOVIC
Klabu ya AC Milan ya Italia imefanikiwa kumnyakuwa mshambuliaji wa kimataifa Msweden Zlatan Ibrahimovic kutoka klabu ya Barcelona.
Juhudi za Makamu wa Rais wa Milan Adriano Galliani kubakia mjini Barcelona kuendeleza mazungumzo ya kumyakua mchezaji huyo wa zamani wa mahasimu wao Inter Milan hatimaye zilizaa matunda jana.
Kazi kubwa imeshakamilika kwa Rais wa Milan Silvio Berluscon ambaye mwezi uliopita alisema kama kuna umuhimu wowote wa kusajili mchezaji nyota katika kikosi chake angefanya hivyo.
"AC Milan wanatangaza kuwa tayari wameshamnyakua Ibrahimovic kutoka Barcelona kwa mkopo lakini wakiwa wana uwezo wa kumnunua baadaye katika msimu wa 2010/2011 kwa ada ya euro milioni 24" ilisema taarifa kutoka tovuti ya klabu.
Taarifa hiyo pia iliendelea kusema kuwa mchezaji atafanyiwa vipimo vya afya Jumatatu na baadae atasaini mkataba wa kuitumikia klabu hiyo.
"Ndio tayari tumeshamchukua kwa mkopo lakini tukiwa na uwezo wa kumnunua kwa kiwangi hicho cha pesa na Jumatatu atasaini mkataba. Kiwango hicho cha pesa kitalipwa kwa kipindi cha miaka mitatu kila mwaka euro milioni 8. naishukuru Milan pamoja na Rais Berluscon kwa ushirikiano walionyesha katika hilo" Galliani aliwaambia waandishi wa habari Barcelona.
Naye Ibrahimovic alisema kuwa klabu yake hiyo mpya ni klabu bora duniani, na huwa inafanya mashambulizi ya kuvutia.
"Mimi ni mchezaji wa Milan sasa. Nina furaha kwamba kila kitu kimekwenda vizuri. Walikuwa na msimu wa kuvutia msimu uliopita, na sina la kusema kuhusu mashabiki wa Inter" alisema Ibrahimovic.
"Uhamisho huu umeniongezea morali. Nimekuja hapa kushinda michuano ya klabu bingwa ya Ulaya (Champions League), nahitaji kushinda mara mbili" alimalizia Ibrahimovic.
Kwa bei waliomyakuwa mchezaji huyo Milan watakuwa wamepiga bao kwa kumchukua mchezaji huyo kwa bei ya chee baada ya Barcelona kumnunua kutoka Inter kwa euro milioni 66 msimu uliopita.
Juhudi za Makamu wa Rais wa Milan Adriano Galliani kubakia mjini Barcelona kuendeleza mazungumzo ya kumyakua mchezaji huyo wa zamani wa mahasimu wao Inter Milan hatimaye zilizaa matunda jana.
Kazi kubwa imeshakamilika kwa Rais wa Milan Silvio Berluscon ambaye mwezi uliopita alisema kama kuna umuhimu wowote wa kusajili mchezaji nyota katika kikosi chake angefanya hivyo.
"AC Milan wanatangaza kuwa tayari wameshamnyakua Ibrahimovic kutoka Barcelona kwa mkopo lakini wakiwa wana uwezo wa kumnunua baadaye katika msimu wa 2010/2011 kwa ada ya euro milioni 24" ilisema taarifa kutoka tovuti ya klabu.
Taarifa hiyo pia iliendelea kusema kuwa mchezaji atafanyiwa vipimo vya afya Jumatatu na baadae atasaini mkataba wa kuitumikia klabu hiyo.
"Ndio tayari tumeshamchukua kwa mkopo lakini tukiwa na uwezo wa kumnunua kwa kiwangi hicho cha pesa na Jumatatu atasaini mkataba. Kiwango hicho cha pesa kitalipwa kwa kipindi cha miaka mitatu kila mwaka euro milioni 8. naishukuru Milan pamoja na Rais Berluscon kwa ushirikiano walionyesha katika hilo" Galliani aliwaambia waandishi wa habari Barcelona.
Naye Ibrahimovic alisema kuwa klabu yake hiyo mpya ni klabu bora duniani, na huwa inafanya mashambulizi ya kuvutia.
"Mimi ni mchezaji wa Milan sasa. Nina furaha kwamba kila kitu kimekwenda vizuri. Walikuwa na msimu wa kuvutia msimu uliopita, na sina la kusema kuhusu mashabiki wa Inter" alisema Ibrahimovic.
"Uhamisho huu umeniongezea morali. Nimekuja hapa kushinda michuano ya klabu bingwa ya Ulaya (Champions League), nahitaji kushinda mara mbili" alimalizia Ibrahimovic.
Kwa bei waliomyakuwa mchezaji huyo Milan watakuwa wamepiga bao kwa kumchukua mchezaji huyo kwa bei ya chee baada ya Barcelona kumnunua kutoka Inter kwa euro milioni 66 msimu uliopita.
Saturday, August 28, 2010
LAMPARD, TERRY NJE KIKOSI CHA ENGLAND
NYOTA wa Chelsea Frank Lampard and John Terry wameondolewa katika kikosi cha timu ya Taifa ya England kitakachomenyana na Bulgaria na Switzerland katika kusaka tiketi ya kucheza michuano ya Ulaya 2012 kutokana na kuwa majeruhi.
Baada ya ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Stoke City, Kocha wa Blues Carlo Ancelotti alisema Lampard anatarajiwa kufanyiwa upasuaji wa ngiri (hernia) wiki ijayo.
Pia taarifa ya klabu hiyo ilifanua kuwa Terry naye atakuwa nje kutokana na matatizo ya kifundo cha mguu wa kulia pamoja na maumivu ya misuli.
Mbali na wachezaji hao pia Bobby Zamora na Peter Crouch nao wako katika hatihati kucheza katika mechi hizo zitakazochezwa Septemba 3 na 7.
Lakini kukosekana kwa Lampard na Terry katika kikosi hicho kunaonekana kumuumiza kichwa kocha Fabio Capello kutokana na mechi zilizopo mbele yake haswa ikizingatiwa kuwa ndio mechi za mwanzo za ushindani toka wachabangwe mabao 4-1 na Ujerumani kwenye Kombe la Dunia hatua ya kumi na sita bora Juni mwaka huu.
"Terry ameshazungumza na uongozi wa timu ya Taifa na madaktari wa Chelsea na timu ya taifa wote wameshajulishwa" ilisema taarifa kutoka tovuti ya klabu.
"Wote wamekubali kuwa Terry ni majeruhi toka mwanzoni mwa msimu na kwamba itakuwa ni vizuri akipata kipindi cha kupumzika kuuguza majeraha yake hayo".
Baada ya ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Stoke City, Kocha wa Blues Carlo Ancelotti alisema Lampard anatarajiwa kufanyiwa upasuaji wa ngiri (hernia) wiki ijayo.
Pia taarifa ya klabu hiyo ilifanua kuwa Terry naye atakuwa nje kutokana na matatizo ya kifundo cha mguu wa kulia pamoja na maumivu ya misuli.
Mbali na wachezaji hao pia Bobby Zamora na Peter Crouch nao wako katika hatihati kucheza katika mechi hizo zitakazochezwa Septemba 3 na 7.
Lakini kukosekana kwa Lampard na Terry katika kikosi hicho kunaonekana kumuumiza kichwa kocha Fabio Capello kutokana na mechi zilizopo mbele yake haswa ikizingatiwa kuwa ndio mechi za mwanzo za ushindani toka wachabangwe mabao 4-1 na Ujerumani kwenye Kombe la Dunia hatua ya kumi na sita bora Juni mwaka huu.
"Terry ameshazungumza na uongozi wa timu ya Taifa na madaktari wa Chelsea na timu ya taifa wote wameshajulishwa" ilisema taarifa kutoka tovuti ya klabu.
"Wote wamekubali kuwa Terry ni majeruhi toka mwanzoni mwa msimu na kwamba itakuwa ni vizuri akipata kipindi cha kupumzika kuuguza majeraha yake hayo".
VIGOGO LIGI KUU ENGLAND VYAENDELEA KUTESA
MABAO ya Theo Walcott na Adrew Arshavin yaliiwezesha Arsenal kuibuka kidedea ugenini dhidi ya timu ngumu ya Blackburn Rovers katika Uwanja wa Ewood Park.
Walcott ndie alifungua pazia la mabao kwa timu hiyo katika dakika ya 19 tokea mchezo huo uanze ambapo kikosi kilifanya kazi kubwa kuhakikisha kinaondoka na pointi zote tatu.
Mchezaji huyo kinda alifunga bao hilo kufuatia pasi nzuri ya Robin van Persie aliyompasia akiwa wingi ya kulia ambapo aliingia nayo ndani na kupiga shuti jepesi lilimpita mlinda mlango wa Rovers Paul Robinson.
Rovers nao hawakukubali kuwaachia vijana wa Arsene Wenger kushinda kirahisi baada ya Mame Diouf kuisawazishia timu yake bao dakika ya 26.
Vijana wa Wenger hawakukata tamaa ambapo Arshavin aliihakikishia timu yake pointi zote tatu baada ya kufunga bao la kuongoza dakika ya 51.
Matokeo mengine ya mechi zilizochezwa jana ni kama ifuatavyo:- Manchester United 3-0 West Ham United, Chelsea 2-0 Stoke City, Blackpool 2-2 Fulham, Wolverhampton Wanderers 1-1 Newcastle, Tottenham hotspurs 0-1 Wigan Athletic.
Mechi za ambazo zitachezwa Jumapili ni pamoja na Bolton vs Birmigham, Liverpool vs WBA, Sunderland vs Manchester City na Aston Villa vs Everton.
Walcott ndie alifungua pazia la mabao kwa timu hiyo katika dakika ya 19 tokea mchezo huo uanze ambapo kikosi kilifanya kazi kubwa kuhakikisha kinaondoka na pointi zote tatu.
Mchezaji huyo kinda alifunga bao hilo kufuatia pasi nzuri ya Robin van Persie aliyompasia akiwa wingi ya kulia ambapo aliingia nayo ndani na kupiga shuti jepesi lilimpita mlinda mlango wa Rovers Paul Robinson.
Rovers nao hawakukubali kuwaachia vijana wa Arsene Wenger kushinda kirahisi baada ya Mame Diouf kuisawazishia timu yake bao dakika ya 26.
Vijana wa Wenger hawakukata tamaa ambapo Arshavin aliihakikishia timu yake pointi zote tatu baada ya kufunga bao la kuongoza dakika ya 51.
Matokeo mengine ya mechi zilizochezwa jana ni kama ifuatavyo:- Manchester United 3-0 West Ham United, Chelsea 2-0 Stoke City, Blackpool 2-2 Fulham, Wolverhampton Wanderers 1-1 Newcastle, Tottenham hotspurs 0-1 Wigan Athletic.
Mechi za ambazo zitachezwa Jumapili ni pamoja na Bolton vs Birmigham, Liverpool vs WBA, Sunderland vs Manchester City na Aston Villa vs Everton.
WALCOTT ADHAMIRIA KUFANYA MAKUBWA BAADA YA KUSUMBULIWA NA MAJERUHI KWA KIPINDI KIREFU.
WINGA machachari wa klabu ya Arsenal Theo Walcott ameendelea kuonyesha kiwango cha juu kwa kuzifumania baada ya kufunga bao dhidi ya Blackburn Rovers na kufanya kuwa na mabao manne katika mechi mbili za ligi alizocheza.
Kinda huyo mwenye umri wa miaka 21 aliipatia Gunners goli la kuongoza wakati timu hiyo iliposhinda jumla ya mabao 2-1 na kuvunja mwiko uliodumu takribani miaka nane kutokuifunga timu yoyote iliyo chini ya Sam Alladyce ambaye ndio kocha wa Rovers hivi sasa.
"Msimu uliopita tulipata matokeo ya kukatisha tamaa. Rovers walicheza mchezo mzuri na walikuwa wagumu kufungika haswa ikizingatiwa kuwa walikuwa nyumbani" alisema Walcott baada ya mchezo wao huo.
Walcott alifunga mabao matatu (hat-trick) mwisho wa wiki iliyopita dhidi ya Blackpool na anashukuru kurudi katika kiwango chake baada ya kuachwa katika kikosi cha England kilichoshiriki Kombe la Dunia Juni mwaka huu.
"Sikumlaumu yoyote, kwani nilifikiri vizuri, nilipata muda mzuri wa kupumzika na sasa nataka kuonyesha kitu gani naweza kufanya" aliongeza Walcott.
"Majeruhi yalinisumbua sehemu kubwa ya msimu uliopita. Msimu huu nataka kucheza kwa nguvu zangu zote na kujaribu kufunga magoli kila mara"
Naye mlinda mlango wa Gunners Manuel Almunia amefurahishwa na matokeo hayo dhidi ya Rovers na anaamini kwamba timu yake imeonyesha kiwango kizuri haswa sehemu ya ukabaji baada ya kushindwa kumudu mashambulizi ya Blackburn msimu uliopita.
"Baada ya kushinda unaweza kusema kwamba tulionyesha kiwango kizuri upande wa ukabaji. Timu yao ilikuwa nzuri lakini vijana wetu walifanya vizuri leo" Alisema Almunia.
Kinda huyo mwenye umri wa miaka 21 aliipatia Gunners goli la kuongoza wakati timu hiyo iliposhinda jumla ya mabao 2-1 na kuvunja mwiko uliodumu takribani miaka nane kutokuifunga timu yoyote iliyo chini ya Sam Alladyce ambaye ndio kocha wa Rovers hivi sasa.
"Msimu uliopita tulipata matokeo ya kukatisha tamaa. Rovers walicheza mchezo mzuri na walikuwa wagumu kufungika haswa ikizingatiwa kuwa walikuwa nyumbani" alisema Walcott baada ya mchezo wao huo.
Walcott alifunga mabao matatu (hat-trick) mwisho wa wiki iliyopita dhidi ya Blackpool na anashukuru kurudi katika kiwango chake baada ya kuachwa katika kikosi cha England kilichoshiriki Kombe la Dunia Juni mwaka huu.
"Sikumlaumu yoyote, kwani nilifikiri vizuri, nilipata muda mzuri wa kupumzika na sasa nataka kuonyesha kitu gani naweza kufanya" aliongeza Walcott.
"Majeruhi yalinisumbua sehemu kubwa ya msimu uliopita. Msimu huu nataka kucheza kwa nguvu zangu zote na kujaribu kufunga magoli kila mara"
Naye mlinda mlango wa Gunners Manuel Almunia amefurahishwa na matokeo hayo dhidi ya Rovers na anaamini kwamba timu yake imeonyesha kiwango kizuri haswa sehemu ya ukabaji baada ya kushindwa kumudu mashambulizi ya Blackburn msimu uliopita.
"Baada ya kushinda unaweza kusema kwamba tulionyesha kiwango kizuri upande wa ukabaji. Timu yao ilikuwa nzuri lakini vijana wetu walifanya vizuri leo" Alisema Almunia.
FERGUSON AMKINGIA KIFUA KINDA LAKE JIPYA
KOCHA wa timu ya Manchester United, Sir Alex Ferguson amekuwa akimkingia kifua kinda lake jipya Bebe alilolisajili kwamba itakuwa ni hazina nzuri kwa klabu hiyo katika kipindi kijacho.
Bebe amekuwa akikingiwa mwavuli toka atue katika klabu hiyo akitokea timu ya Guimaraes ya Ureno kwa ada ya paundi milioni 7.4 katika kipindi cha majira ya kiangazi.
Mchezaji huyo bado hajawa katika mipango ya Ferguson katika kikosi cha kwanza lakini pia ilishangaza kukosekana kwake hata kwenye list ya wachezaji wa akiba katikati ya wiki.
Lakini Ferguson alisema kuwa mchezaji huyo bado hana mazoezi ya kutosha na wameamua kumpa mazoezi maalum kumrudisha katika kiwango kama wachezaji wengine.
"Kwa kifupi ni kwamba Bebe ana uwezo mkubwa na ni mmaliziaji mzuri na hilo limekuwa likinivutia" alisema Ferguson.
Bebe amekuwa akikingiwa mwavuli toka atue katika klabu hiyo akitokea timu ya Guimaraes ya Ureno kwa ada ya paundi milioni 7.4 katika kipindi cha majira ya kiangazi.
Mchezaji huyo bado hajawa katika mipango ya Ferguson katika kikosi cha kwanza lakini pia ilishangaza kukosekana kwake hata kwenye list ya wachezaji wa akiba katikati ya wiki.
Lakini Ferguson alisema kuwa mchezaji huyo bado hana mazoezi ya kutosha na wameamua kumpa mazoezi maalum kumrudisha katika kiwango kama wachezaji wengine.
"Kwa kifupi ni kwamba Bebe ana uwezo mkubwa na ni mmaliziaji mzuri na hilo limekuwa likinivutia" alisema Ferguson.
Friday, August 27, 2010
LIVERPOOL YASALIMU AMRI KWA MASCHERANO.
HATIMAYE klabu ya Liverpool imesalimu amri kwa kiungo wake Javier Mascherano baada ya kumruhusu kuanza mazungumzo na klabu ya Barcelona kuhusiana na uhamisho wake.
Kiungo huyo ambaye pia ni nahodha wa Argentina amekuwa akihusishwa na suala la kuondoka katika klabu hiyo kwa muda mrefu toka dirisha la usajili katika majira ya joto lilipofunguliwa ambapo klabu za Barca na Inter Milan zote zilionyesha nia ya kumnyakua.
Mascherano hakuhusishwa katika kikosi cha Liverpool kilichochapwa mabao 3-0 na Manchester City Jumatatu iliyopita baada ya kumfahamisha kocha wake Hudgson kutomjumuisha katika kikosi hicho.
Bosi huyo wa zamani wa klabu ya Fulham aliweka wazi suala hilo baada ya timu hiyo kujihakikishia nafasi ya hatua ya makundi ya ligi ya Ulaya maarufu kama "Europa League" kwamba klabu ilikataa ofa ya Inter Milan ambayo inanolewa na bosi wa zamani wa klabu hiyo Rafa Benitez.
"Liverpool imekubali kumuachia kiungo Javier Mascherano kwenda klabu ya Barcelona na mazungumzo yameshaanza tayari" ilisomeka taarifa kutoka website ya klabu.
Barca watalazimika kulipa kitita cha paundi milioni 16, na kiasi cha paundi milioni 6 kitaongezeka kulingana na kiwango atakachoonyesha mchezaji huo. Anatarajia kusaini mkataba wa miaka minne.
CHAMPIONS LEAGUE KUANZA KUTIMUA VUMBI SEPT' 14, 2010.
MICHUANO mikubwa duniani ya mchezo wa soka ya UEFA Champions League inatarajiwa kuanza kutimua vumbi Septemba 14 mwaka huu, ambapo droo tayari imeshatangazwa.
Je kikosi cha Inter Milan ambao ni mabingwa watetezi wataweza kutetea ubingwa huo bila Meneja wake Jose Muorinho ambaye ameihama klabu hiyo?
Nao Real Madrid ambao walipata bahati ya kupata saini ya Mourinho au "The special one" pamoja na kikosi chake kilichosheheni nyota wa dunia wataweza kufika fainali ya michuano hiyo?
Pamoja na klabu ya Barcelona kukabiliwa na madeni lakini kikosi chake bado kitaendelea kuwa tishio katika mashindano hayo huku klabu za England Chelsea na Manchester United wakipigana vikumbo na timu zingine za Ulaya kufukuzia nafasi za juu.
Bila kuwasahau washindi wa pili Bayern Munich ambao nao sio wa kubeza haswa ikizingatiwa kwamba walichukua vikombe viwili msimu uliopita huko ujerumani.
Tukiachana na yaliyotokea msimu uliopita, mwaka huu inaonekana kutakuwa na ushindani mkubwa katika mashindano hayo kama makundi yanavyoonekana hapo chini.
Group A
Inter Milan
Werder Bremen
Tottenham
Twente
Group B
Lyon
Benfica
Schalke
H. Tel-Aviv
Group C
Manchester United
Valencia
Rangers
Bursaspor
Group D
Barcelona
Panathinaikos
Kobenahvn
Rubin Kazan
Group E
Bayern Munich
Roma
Basel
CFR Cluj
Group F
Chelsea
Marseille
Spartak Moskva
Zilina
Group G
Milan
Real Madrid
Ajax
Auxerre
Group H
Arsenal
Shakhtar Donetsk
Braga
Partizan
Je kikosi cha Inter Milan ambao ni mabingwa watetezi wataweza kutetea ubingwa huo bila Meneja wake Jose Muorinho ambaye ameihama klabu hiyo?
Nao Real Madrid ambao walipata bahati ya kupata saini ya Mourinho au "The special one" pamoja na kikosi chake kilichosheheni nyota wa dunia wataweza kufika fainali ya michuano hiyo?
Pamoja na klabu ya Barcelona kukabiliwa na madeni lakini kikosi chake bado kitaendelea kuwa tishio katika mashindano hayo huku klabu za England Chelsea na Manchester United wakipigana vikumbo na timu zingine za Ulaya kufukuzia nafasi za juu.
Bila kuwasahau washindi wa pili Bayern Munich ambao nao sio wa kubeza haswa ikizingatiwa kwamba walichukua vikombe viwili msimu uliopita huko ujerumani.
Tukiachana na yaliyotokea msimu uliopita, mwaka huu inaonekana kutakuwa na ushindani mkubwa katika mashindano hayo kama makundi yanavyoonekana hapo chini.
Group A
Inter Milan
Werder Bremen
Tottenham
Twente
Group B
Lyon
Benfica
Schalke
H. Tel-Aviv
Group C
Manchester United
Valencia
Rangers
Bursaspor
Group D
Barcelona
Panathinaikos
Kobenahvn
Rubin Kazan
Group E
Bayern Munich
Roma
Basel
CFR Cluj
Group F
Chelsea
Marseille
Spartak Moskva
Zilina
Group G
Milan
Real Madrid
Ajax
Auxerre
Group H
Arsenal
Shakhtar Donetsk
Braga
Partizan
TASWA KUMUANDALIA TUZO JK.
CHAMA Cha Waandishi wa Habari za Michezo Tanzania (TASWA), kimesema kimeandaa tuzo maalum kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Kikwete.
Akizungumza jana jijini Dar es Salaam Mwenyekiti wa chama hicho, Juma Pinto alisema tuzo hiyo imeasisiwa na uongozi mpya wa TASWA na ina lengo la kumpongeza na kumshukuru Rais Kikwete kutokana na mchango wake katika michezo na burudani.
Alisema katika muhula wake wa kwanza wa miaka mitano, alisema Rais Kikwete amekua mstari wa mbele katika kuhakikisha kuwa medani za michezo zinaboreka.
Pinto alisema ili kuona hilo linawezekana aliaamua kuwaleta nchini makocha wa soka, riadha na ngumi za ridhaa kutoka nje ya nchi ili kuona michezo hiyo inakua na kufika kiwango cha kimataifa.
Alisema mchakato wa kufanyika kwa hafla ya kumkabidhi tuzo kiongozi huyo, unaendelea na mara utakapomalizika utawekwa bayana ukumbi na siku chama chake kitakapotoa tuzo hiyo itakayotolewa nchini kwa mara ya kwanza.
“Kwa kweli TASWA hatuwezi kufumbia macho jitihada za masudi ambazo zimefanywa na Rais Kikwete kwenye muda wake huu wa miaka mitano, hivyo ili kuenze jitihada zake uongozi wetu mpya ulioingia madarakani Agosti 15, mwaka huu umepanga kumpa tuzo maalum,”alisema.
Aliwataja baadhi ya makocha ambao wako nchini na wanalipwa na serikali ya awamu ya nne ni, pamoja na kocha aliyemaliza mkataba wake Marcio Maximo alioyekua akiinoa timu wa Taifa Stars.
Wengine ni kocha wa ngumi za ridhaa raia wa Cuba, Giovanis Pimentel na makocha wengine wawili wa mchezo wa riadha ambao wote wanaendelea na kazi za kuzinoa timu za taifa za michezo husika.
Pinto alisema uongozi wake pia umepania kuongeza wigo wa semina mbalimbali kwa waandishi wa habari za michezo, alisema lengo la semina hizo ni kuongeza upea na ufahamu kwa wahusika.
Alisema uongozi wake pia umebadili mfumo wa uteuzi wa wanasoka bora wa kila mwezi, badala yake alisema TASWA itafanya uteuzi wa mwanasoka bora, mwandishi bora na mpiga picha bora wa mwaka.
“Tumefikia hatua hiyo baada ya kubaini kuwa uongozi wetu umeingia madarakani, huku kukiwa kumepita miezi takriban saba bila ya kuteuliwa kwa wachezaji bora wa mwezi. Hivyo ili kuepukana na usumbufu wa kuteua wachezaji hao, uongozi umeona ni vema kama utawateua wahusika baada ya kumalizika mwaka, alisema.
Alisema tuzo za mwandishi bora, mpiga picha na mtangazaji bora zimepangwa kufanyika Februari, mwakani ambapo tukio hilo alisema litariushwa ‘Live’ na televisheni.
Wakati huo huo, Pinto alisema TASWA imeandaa semina kwa waandishi wa habari za michezo ambayo itafanyika Septemba 18 na 19, mwaka huu jijini Dar es Salaam.
Alisema kimsingi semina hiyo itatoa mafunzo kuhusiana na michezo ya soka, riadha, mpira wa kikapu, tenesi na gofu.
“Nadhani hiyo itakua ni semina ya mwisho kwa mkoa wa Dar es Salaam msimu huu, kwani semina zingine zitakua zikifanywa mikoani kulingana na kanda zitakazopangwa na chama. Hatua hiyo inalengo la kupanua wigo wa uelewa wa uandishi habari za michezo nchini,” alisema.
Akizungumza jana jijini Dar es Salaam Mwenyekiti wa chama hicho, Juma Pinto alisema tuzo hiyo imeasisiwa na uongozi mpya wa TASWA na ina lengo la kumpongeza na kumshukuru Rais Kikwete kutokana na mchango wake katika michezo na burudani.
Alisema katika muhula wake wa kwanza wa miaka mitano, alisema Rais Kikwete amekua mstari wa mbele katika kuhakikisha kuwa medani za michezo zinaboreka.
Pinto alisema ili kuona hilo linawezekana aliaamua kuwaleta nchini makocha wa soka, riadha na ngumi za ridhaa kutoka nje ya nchi ili kuona michezo hiyo inakua na kufika kiwango cha kimataifa.
Alisema mchakato wa kufanyika kwa hafla ya kumkabidhi tuzo kiongozi huyo, unaendelea na mara utakapomalizika utawekwa bayana ukumbi na siku chama chake kitakapotoa tuzo hiyo itakayotolewa nchini kwa mara ya kwanza.
“Kwa kweli TASWA hatuwezi kufumbia macho jitihada za masudi ambazo zimefanywa na Rais Kikwete kwenye muda wake huu wa miaka mitano, hivyo ili kuenze jitihada zake uongozi wetu mpya ulioingia madarakani Agosti 15, mwaka huu umepanga kumpa tuzo maalum,”alisema.
Aliwataja baadhi ya makocha ambao wako nchini na wanalipwa na serikali ya awamu ya nne ni, pamoja na kocha aliyemaliza mkataba wake Marcio Maximo alioyekua akiinoa timu wa Taifa Stars.
Wengine ni kocha wa ngumi za ridhaa raia wa Cuba, Giovanis Pimentel na makocha wengine wawili wa mchezo wa riadha ambao wote wanaendelea na kazi za kuzinoa timu za taifa za michezo husika.
Pinto alisema uongozi wake pia umepania kuongeza wigo wa semina mbalimbali kwa waandishi wa habari za michezo, alisema lengo la semina hizo ni kuongeza upea na ufahamu kwa wahusika.
Alisema uongozi wake pia umebadili mfumo wa uteuzi wa wanasoka bora wa kila mwezi, badala yake alisema TASWA itafanya uteuzi wa mwanasoka bora, mwandishi bora na mpiga picha bora wa mwaka.
“Tumefikia hatua hiyo baada ya kubaini kuwa uongozi wetu umeingia madarakani, huku kukiwa kumepita miezi takriban saba bila ya kuteuliwa kwa wachezaji bora wa mwezi. Hivyo ili kuepukana na usumbufu wa kuteua wachezaji hao, uongozi umeona ni vema kama utawateua wahusika baada ya kumalizika mwaka, alisema.
Alisema tuzo za mwandishi bora, mpiga picha na mtangazaji bora zimepangwa kufanyika Februari, mwakani ambapo tukio hilo alisema litariushwa ‘Live’ na televisheni.
Wakati huo huo, Pinto alisema TASWA imeandaa semina kwa waandishi wa habari za michezo ambayo itafanyika Septemba 18 na 19, mwaka huu jijini Dar es Salaam.
Alisema kimsingi semina hiyo itatoa mafunzo kuhusiana na michezo ya soka, riadha, mpira wa kikapu, tenesi na gofu.
“Nadhani hiyo itakua ni semina ya mwisho kwa mkoa wa Dar es Salaam msimu huu, kwani semina zingine zitakua zikifanywa mikoani kulingana na kanda zitakazopangwa na chama. Hatua hiyo inalengo la kupanua wigo wa uelewa wa uandishi habari za michezo nchini,” alisema.
*Kikosi cha Stars kitakachaivaa Algeria hiki hapa.
KIKOSI cha wachezaji 20 cha timu ya soka ya taifa, Taifa Satrs kitakachoivaa Algeria, kimetangazwa jana na Kocha mkuu wa timu hiyo Jan Poulsen.
Akizugumza jana jijini Dar es Salaam na waandishi wa Habari za Michezo kwenye ukumbi wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), alisema uteuzi wa kikosi chake umezingatia umuhimu wa kila mchezaji kulingana na ugumu wa mechi hiyo.
Alisema mechi hiyo ya kwanza ya kinyang'anyiro cha kufuzu kucheza fainali za Kombe la Mataifa Afrika 2012, imepangwa kuchezwa Septemba 3, mwaka huu mjini Algiers, Algeria.
"Niliita kambini wachezaji 26 ili kujiunga na kambi ya Stars,lakini hata hivyo ni wachezaji 20 tu ambao wanahitajika kusafiri kwa ajili ya mecho huo. Hivyo kutokana na ukweli huo imenilazimu kuwaaacha baadhi ya wachezaji kutokana na kuwa majeruhi na wengine nafasi zao zimechukuliwa na wachezaji wa kulipwa," alisema.
Poulsen ambaye anakinoa kikosi hicho baada ya kumrithi kocha aliyetangaulia raia wa Brazil, Marcio Maximo aliwataja wachezaji waliochwa na klabu wanazotoka katika mabano ni kipa mahiri nchini, Juma Kaseja (Simba).
"Kipa Kaseja kama inavyofahamika ni majeruhi , na amefungwa POP. Daktari amempa wiki moja nyingine ili ajitazamie, hivyo ni bahati mbaya kwake naye ni miongoni mwa wachezaji sita watakaoikosa safari hiyo," alisema.
Wengine ni beki wa kushoto,Juma Jabu (Simba), viungo Athuman Idd 'Chuji' (Yanga) na Abdulhalim Humoud (Simba) na mshambuliaji Uhuru Seleman (Simba) na Jerson Tegete (Yanga).
Poulsen aliwataja wachezaji wanaondoka na kikosi hicho Jumanne ijayo na klabu wanazotoka katika mabano ni makipa Shaaban Kado(Mtibwa Sugar) na Jackson Chove (Azam FC).
Mabeki ni Shadrack Nsajigwa, Nadir Haroub'Cananavaro' na Stephano Mwasika (Yanga),Salum Kanoni na Kelvin Yondan (Simba), Aggrey Morris (Azam FC) na Erasto Nyoni (Azam FC).
Aliwataja viungo ni Jabir Aziz (Simba), Seleman Kassim(Azam FC), Nurdin Bakari (Yanga),Idrisa Rajabu (Sofapaka, Kenya) na Henry Joseph (Norway).
Wakati washambuliaji ni Danny Mrwanda (Dt Long, Vietnam), Nizar Khalfan (Vancouver Whitecaps, Canada), Abdi Kassim 'Babi' (Yanga), Mrisho Ngasa (Azam FC), Mussa Hassan 'Mgosi' (Simba) na John Bocco (Azam FC).
Akizungumzia mchezo huo, Poulsen alisema anatarajia kukutana na ushindani mkubwa kutoka kwa timu ya Algeria, kwani alisema hiyo inatokana na ukweli timu hiyo inaundwa na wachezaji wazuri na wana histori nzuri kwenye michuano mbalimbali barani Afrika.
Alisema lakini katika siku chache Stars ilizokaa kambini kujiandaa kwa pambano hilo, alisema amezifanyia kazi baadhi ya kasoro ndogo ambazo zilijitokeza kwenye mechi ya kirafiki ya kimataifa dhidi ya timu ya taifa ya Kenya, Harambee Stars ambayo ilichezwa Agosti 11, mwaka kwenye Uwanja wa Taifa na ilimalizika kwa sare ya bao 1 - 1.
"Pamoja na kurekebisha dosari chache ambazo zilionekana kwenye mechi yetu dhidi ya Harambee, lakini ninatarajia kukutana na ushindani mkubwa kutoka kwa Algeria.Hiyo inatokana na ubora walionao wapinzani wetu, ila tutajitahidi tucheze vizuri ili hatimaye tushinde," alisema.
Naye Nahodha wa Stars, Nsajigwa akizungumzia mchezo huo, alisema wamejiandaa vizuri licha ya kuwa wanatarajia kukutana na ushindani mkubwa kutoka kwa wapinzani ambao watakua wakicheza kwenye uwanja wa nyumbani.
"Tumejiandaa vizuri kwa muda wote tuliokua kambini na Watanzania wana kila sababu ya kuiamini timu yetu, kwani licha ya kuwa mechi itakua ngumu lakini wanatakiwa kutuombea ili tuweze kuibuka na ushindi,"alisema.
Subscribe to:
Posts (Atom)